Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Na ukuje!Weekend mkuu
Ila usisahau kubeba nguo za kupambana na baridi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ukuje!Weekend mkuu
Nawapenda wote wawiliDuh! Na Mzee wa kububujikwa na machozi itakuaje sasa?
Mkuu sijui umewaza nini kunipa kazi ya upigaji tarumbeta 😂😂😂😂😂😂😂😂dronedrake please achana na babycare tafuta hata lishangazi ukumbi ni bure mimi naahidi chakula, vinywaji, na usafiri,
mpiga tarumbeta Poor Brain @msherheshaji To yeye
role model@evelyn salt na Mbaga Jr
atakayekuja kusikiza kusikilizia wakati wa honey moon ni.......naogopa kumtaja
Oyaaa weeeeh umepatia kinoma noma...kwanza, ukumbi utakuwa Mbande Kiponza kwa kina Poor Brain
Pili, simuachi babycare ng'o
Kwa mpalange hiyo mbali kidogo itakua buza..Mbona nilikua hapo mbande (mbagala) charambe juzi tu, nilisahau kukucheki maana nilikua mbagala kwa mpalange Poor Brain
Lete mahari kwanza😉Lini tufunge yetu pale Four Seasons
Hujanipa locationLete mahari kwanza😉
Panda gari uje Lindi kuwaona wazeeHujanipa location
Sawa. Ngoja nije PM tuongeePanda gari uje Lindi kuwaona wazee
Hii kama haitakuwa ni kukamatana mashati na matajiri wa jijiMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema Serikali itagharamia kumbi kwa ajili ya harusi zitakazofungwa mkoani humo na maharusi wanaotoka nje ya jiji la Arusha ili kuvutia wageni na kukuza uchumi.
Wanaupenda utawala wa majimbo kumbe, why cannot do for the whole country?Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo.
Makonda amesema hayo wakati akiongea na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Arusha leo July 08,2024 ambapo amesema lengo ni kuvutia zaidi Wageni na Watalii kufika Mkoani Arusha ili kuwa chachu ya kukuza uchumi wa Mkoa huo.
“Lengo letu sisi ni hatutaki kuwa na high season au low season, tunataka kutengeneza shughuli na matukio mbalimbali kuhakikisha kuwa muda wote uchumi unakuwa na kuendelea ili Mama wa mboga, bodaboda na kila Mtu anufaike na ugeni unaofika hapa Arusha”
====
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huyu ubunge mchana kweupe ana chukuaMkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo.
Makonda amesema hayo wakati akiongea na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Arusha leo July 08,2024 ambapo amesema lengo ni kuvutia zaidi Wageni na Watalii kufika Mkoani Arusha ili kuwa chachu ya kukuza uchumi wa Mkoa huo.
“Lengo letu sisi ni hatutaki kuwa na high season au low season, tunataka kutengeneza shughuli na matukio mbalimbali kuhakikisha kuwa muda wote uchumi unakuwa na kuendelea ili Mama wa mboga, bodaboda na kila Mtu anufaike na ugeni unaofika hapa Arusha”
====
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Utadai hiyo hela ukumbi milele......hujui wana siasa.....wewe ....ukumbi utakula hasaraAnapaswa kuigwa na wakuu wengine wa mikoa
Kwamba kuwalipia watu harusi Ndio kuwa straight up wakati watu hawana bima za afya Wala uhakika wa matibabu? Hao wafanyabishara anawalazimisha kutoa Kumbi Kwa lazima si awaambie wachagie mfuko wa bima ya afya kwa wote? We ni skunk of the nationAnajua kuongoza Watanzania,
Watanzania tunahitaji kiongozi aliye straight, aliye makini na kazi yake anayejiamini
Sifa zote hizi Makonda anazo!
Halafu kuna wajinga wanamuona huyu kiazi Bashite eti anaweza kuwa kiongozi mkubwa!Kwamba kuwalipia watu harusi Ndio kuwa straight up wakati watu hawana bima za afya Wala uhakika wa matibabu? Hao wafanyabishara anawalazimisha kutoa Kumbi Kwa lazima si awaambie wachagie mfuko wa bima ya afya kwa wote? We ni skunk of the nation