Pre GE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

Pre GE2025 Makonda: Harusi yoyote itakayofungiwa Arusha Serikali ya mkoa italipia ukumbi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
dronedrake please achana na babycare tafuta hata lishangazi ukumbi ni bure mimi naahidi chakula, vinywaji, na usafiri,

mpiga tarumbeta Poor Brain @msherheshaji To yeye

role model@evelyn salt na Mbaga Jr

atakayekuja kusikiza kusikilizia wakati wa honey moon ni.......naogopa kumtaja
Mkuu sijui umewaza nini kunipa kazi ya upigaji tarumbeta 😂😂😂😂😂😂😂😂
 
kwanza, ukumbi utakuwa Mbande Kiponza kwa kina Poor Brain
Pili, simuachi babycare ng'o
Oyaaa weeeeh umepatia kinoma noma...

Ukumbi upo hapa tena wanapaita free park au kama vipi tutafanyia pale Garimbo near na mikumi mkuu..

Sema mambo ya kupiga tarumbe ndo mnazingua kaka ,😂😂😂😂😂😂
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema Serikali itagharamia kumbi kwa ajili ya harusi zitakazofungwa mkoani humo na maharusi wanaotoka nje ya jiji la Arusha ili kuvutia wageni na kukuza uchumi.
Hii kama haitakuwa ni kukamatana mashati na matajiri wa jiji
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo.

Makonda amesema hayo wakati akiongea na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Arusha leo July 08,2024 ambapo amesema lengo ni kuvutia zaidi Wageni na Watalii kufika Mkoani Arusha ili kuwa chachu ya kukuza uchumi wa Mkoa huo.

“Lengo letu sisi ni hatutaki kuwa na high season au low season, tunataka kutengeneza shughuli na matukio mbalimbali kuhakikisha kuwa muda wote uchumi unakuwa na kuendelea ili Mama wa mboga, bodaboda na kila Mtu anufaike na ugeni unaofika hapa Arusha”

====

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wanaupenda utawala wa majimbo kumbe, why cannot do for the whole country?
 
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Christian Makonda amesema sherehe ya harusi yoyote itakayokuwa inafanyika Mkoani Arusha na kuhusisha wasiokuwa Wakazi wa Mkoa wa Arusha, Serikali ya Mkoa chini yake itagharamia ukumbi popote ndani ya Mkoa huo ili kufanikisha harusi hiyo.

Makonda amesema hayo wakati akiongea na Wadau mbalimbali wa maendeleo Mkoani Arusha leo July 08,2024 ambapo amesema lengo ni kuvutia zaidi Wageni na Watalii kufika Mkoani Arusha ili kuwa chachu ya kukuza uchumi wa Mkoa huo.

“Lengo letu sisi ni hatutaki kuwa na high season au low season, tunataka kutengeneza shughuli na matukio mbalimbali kuhakikisha kuwa muda wote uchumi unakuwa na kuendelea ili Mama wa mboga, bodaboda na kila Mtu anufaike na ugeni unaofika hapa Arusha”

====

Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Huyu ubunge mchana kweupe ana chukua
 
Anajua kuongoza Watanzania,
Watanzania tunahitaji kiongozi aliye straight, aliye makini na kazi yake anayejiamini
Sifa zote hizi Makonda anazo!
Kwamba kuwalipia watu harusi Ndio kuwa straight up wakati watu hawana bima za afya Wala uhakika wa matibabu? Hao wafanyabishara anawalazimisha kutoa Kumbi Kwa lazima si awaambie wachagie mfuko wa bima ya afya kwa wote? We ni skunk of the nation
 
Kwamba kuwalipia watu harusi Ndio kuwa straight up wakati watu hawana bima za afya Wala uhakika wa matibabu? Hao wafanyabishara anawalazimisha kutoa Kumbi Kwa lazima si awaambie wachagie mfuko wa bima ya afya kwa wote? We ni skunk of the nation
Halafu kuna wajinga wanamuona huyu kiazi Bashite eti anaweza kuwa kiongozi mkubwa!
 
Back
Top Bottom