Lile jumba bovu la CCM sasa ndiyo limepata mtu wa kuanguka nalo. Hamna namna Samia ataweza kupindua kura za wananchi kama alivyofanya Dikteta Magufuli. Wakati wa UPINZANI kuchukua nchi unarejeaAcha ujinga wewe unajua cheo cha katibu wa halmashauri kuu ya taifa itikadi na uenez??
NapitaKamaRadi
Baada ya kuwasema Mawaziri je ni nani aliweza kumvua Gamba? Si walimlenga Andrew Chenge? Je nini kilitokea?Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...
Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.
Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Mkuu hayo ni mswala ya ndani ya chama...lengo langu ilikuwa ni kuelezea mamlaka ama nafasi aliyonayo ndani chama kwa sasa.Baada ya kuwasema Mawaziri je ni nani aliweza kumvua Gamba? Si walimlenga Andrew Chenge? Je nini kilitokea?
Mbali wapi mama?Yani hata mseme nini, ndio kashatoa maelekezo. Na sisi wananchi leo tumefarijika sana kumuona kafika kwenye kiti hicho. Na Mungu ni Mwema, atafika mbali zaidi tunapopataka.
Labda akufikishe mbali kileleniYani hata mseme nini, ndio kashatoa maelekezo. Na sisi wananchi leo tumefarijika sana kumuona kafika kwenye kiti hicho. Na Mungu ni Mwema, atafika mbali zaidi tunapopataka.
Nangoja kwa hamu 2025,waache waishi kwa mazoea ndio watajua kuwa hawajui.Lile jumba bovu la CCM sasa ndiyo limepata mtu wa kuanguka nalo. Hamna namna Samia ataweza kupindua kura za wananchi kama alivyofanya Dikteta Magufuli. Wakati wa UPINZANI kuchukua nchi unarejea
Wakumbushe hao ma zwaza, Makonda piga kazi mpaka maji waite inyaMkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...
Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.
Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Mchukue aongoze ukoo wenuIla i don't know why nafurahi sana nikianza kumsikia huyu jamaa akiongea... He, deserve to lead hata kama anaweza kuwa na mapungufu yake ila kiti kinamuenea vyema