Makonda huna mamlaka juu ya Mawaziri na Wakuu wa Mikoa

Makonda huna mamlaka juu ya Mawaziri na Wakuu wa Mikoa

Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...

Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.


Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Punguza ujinga,huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.

Msemaji mkuu wa CCM ni Katibu Mkuu.Makonda ni mtoa taarifa wa vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM.Kazi nyingine anajipachika kwakuwa CCM ilishajifia siku nyingi.
 
Sikumbali Ila kaongea fact katika hiyo video kuwa hayuko tayari kuongeea uongo. Kuwa Mama anaupiga mwingi kumbe anabutua
Siku ataongea ukweli kuwa mama anabutua ndio yatamkuta yaliyomkuta Ndugai, ama uchunguzi wa tuhuma zake za kuua watu kipindi Cha dhalimu magu utaanza rasmi. Muulize yaliyomkuta Sabaya.
 
Punguza ujinga,huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.

Msemaji mkuu wa CCM ni Katibu Mkuu.Makonda ni mtoa taarifa wa vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM.Kazi nyingine anajipachika kwakuwa CCM ilishajifia siku nyingi.
Halafu kumbuka Makonda majukumu yake yake yako kwenye katiba YA CCM..hata kama ataingilia majukumu ya Katibu Mkuu CCM bado ni maswala yao ya ndani.
 
Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...

Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.


Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Alichoongea makonda yuko sahihi na sijaona ubaya wa hotuba yake, kimsingi chama kinatakiwa kisimamie serikali ikiwemo na mwenyekiti wao, akivurunda chama kinakaa na kumtoa au kutoa onyo kali.
 
Back
Top Bottom