Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Watu wanafki tu hao, hao ndio walitaka Fisadi Lowassa awe rais wa hii nchi kisa alisema elimu elimu elimu.Kilio au watu wanapaza sauti kuwa muovu wa utawala wa magufuli karudishwa kwenye madaraka?
Hawako serious.