Makonda huna mamlaka juu ya Mawaziri na Wakuu wa Mikoa

Makonda huna mamlaka juu ya Mawaziri na Wakuu wa Mikoa

Ni kweli Makamo Mwenyekiti ......anataka kutoka ?
 
Punguza ujinga,huyu ni mpuuzi kama wapuuzi wengine.

Msemaji mkuu wa CCM ni Katibu Mkuu.Makonda ni mtoa taarifa wa vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM.Kazi nyingine anajipachika kwakuwa CCM ilishajifia siku nyingi.
Wewe hujui na hujijui kuwa hujui,endelea kujidanganya.
 
Acha ujinga wewe unajua cheo cha katibu wa halmashauri kuu ya taifa itikadi na uenez??


NapitaKamaRadi
Kumbe ni katibu wa NEC itikadi na uenezi tu? Nikajua labda ni Katibu mkuu.

Makonda anaongoza idara ndani ya chama ila Chongolo anaongoza chama sio idara.
 
Huu ni mfumo kwa sababu serikali inapasa kutekeleza ilaani ya Chama Cha mapinduzi.Kama utaratibu huu isingekuwepo,basi asingekuwa na nguvu ya kutupigia kelele hivi
Kupiga kelele ni kawaida kwa mtu mwenye mitako mikubwa kuliko akili!!
 
Huyu siyo msemaji tu, ni Katibu wa Itikani na Uenezi..elewa haya maneno mawili wewe kimana
Itikadi na uenezi ndani ya chama chake sio kwenye serikali.

Huku serikalini Boss wa mawaziri ni kuanzia Waziri mkuu, Katibu mkuu kiongozi,makamu wa Rais na Rais.
 
Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...

Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.


Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Hana mamlaka ya kumpangia waziri cha kufanya maana yeye yupo ndani ya chama sio serikali.

Waziri anafanya kazi ya serikali ila itikadi na uenezi ni ndani ya chama.
 
Mkuu huyu hakuna kikao cha CCM asichoshiriki kwa ngazi yoyote ile...yaani mauchafu yote ya CCM yanayopangwa kuhusu nchi hii yeye yumo na anahusika...

Hivyo anachokiongea anakijua na anajua mamlaka yake... sasa hivi yupo jikoni kabisa.


Unakumbuka Nape akiwa kwenye nafasi hiyo aliwahi kusema kuna Mawaziri mizigo, na baadhi ya mawaziri wakatumbuliwa.
Hata Rais akitaka kumuwajibisha waziri yeyote humuwajibisha kwa cheo chake cha Urais na sio kwa cheo cha Mwenyekiti wa chama Taifa.
 
Ila i don't know why nafurahi sana nikianza kumsikia huyu jamaa akiongea... He, deserve to lead hata kama anaweza kuwa na mapungufu yake ila kiti kinamuenea vyema
Wewe ni jinsia gani tafadhali.

Sitarajii kusikia ni mwanaume kwasababu mwanaume hawezi kufurahi kusikia mwanaume mwenzie akiongea.
 
CCM ina nguvu kuliko miimili yote ya serikali sababu bila chama huyo waziri hayupo na makonda kama katibu wa uenezi ana impact kubwa sana kwenye chama.
Kwa mawazo yako haya, unataka kutuambia Makonda kama mwenezi wa chama, an uwezo wa kuwawajibisha mawaziri na maRC? Ni kujimwambafy tu na dharau. Hajui ukomo na mipaka ya madaraka yake. Kitendo cha kumsimamisha RC wa dar kwa kumuita huyu...ni kitendo cha dharau mbele za watu.
 
Wewe ni jinsia gani tafadhali.

Sitarajii kusikia ni mwanaume kwasababu mwanaume hawezi kufurahi kusikia mwanaume mwenzie akiongea.
Tarajia tu mkuu, Me nilishasema.
 
Itikadi na uenezi ndani ya chama chake sio kwenye serikali.

Huku serikalini Boss wa mawaziri ni kuanzia Waziri mkuu, Katibu mkuu kiongozi,makamu wa Rais na Rais.
Chama ni baba na serikali ni mtoto!

Chama ndo kinaomba ridhaa ya kuongoza nchi na si serilaki. Hivyo, serikali ikikosea wakulaumiwa ni Chama ambacho ndo kilichaguliwa na wananchi.

Makonda alikuwa wazi kabisa kuwa Chama ni sikio Kwa serikali na msemaji wa wananchi.

Inamaana serikali ikikosea Chama lazima kiingilie... Hivyo, Viongozi wa Chama ni more powerful than those of your claim.

Utaona Makonda akiitisha kikao Cha Wabunge wa CCM watakavyokimbizana ukumbini na akina atakayethubutu kuleta fyoko.

Mbona Hii ni Civics ya DARASA la kwanza? Hivi shuleni mlisoma kula makande tu?
 
Pamoja na kufanya kazi zingine atakazopangiwa na mkuu wake wa kazi.
 
Ni mwenezi wa CCM na hao mawaziri ni wa CCM. Elewa kwa kina uhusiano uliopo kati ya Makonda na hao wateuliwa wa CCM.

Inakera kidogo ukitafakari lakini ndio uhalisia uliopo.
Kazi ya Waziri Mkuu ni nini? Kazi ya Rais ni nini? Na kazi ya Katibu Mkuu wa CCM ni nini mpaka mnatamani huyu shoga mwenye makalio makubwa awakemee mawaziri?
Ni mwenezi wa CCM na hao mawaziri ni wa CCM. Elewa kwa kina uhusiano uliopo kati ya Makonda na hao wateuliwa wa CCM.

Inakera kidogo ukitafakari lakini ndio uhalisia uliopo.
Basi kama ni hivyo, Rais Samia ampishe kiti Nyamitako tujue moja kuwa ameshindwa kazi?
 
Huenda Mama amempa rungu alilolipewa na JPM kwa ngazi nyingine!
 
Back
Top Bottom