mkaruka ataja rinu
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 3,527
- 2,469
Unajua maana ya Chama kushika Hatamu?Yani hata mseme nini, ndio kashatoa maelekezo. Na sisi wananchi leo tumefarijika sana kumuona kafika kwenye kiti hicho. Na Mungu ni Mwema, atafika mbali zaidi tunapopataka.
Waambie hao wakubwa wanaompa Makonda hiyo nguvu kuwa wanajipiga risasi mguuni.Hayo anayozungumza ametumwa azungumze hivyo!! Kuna nguvu kubwa nyuma ya Makonda!! wenye akili zao wanajua hivyo!! Mwulize Nape atakuambia yaliyomtokea alipojaribu kumvimbia Makonda!! Kuna wakubwa huona aibu kusema mambo fulani ya dhati na hutafuta kumtumia mtu jasiri kama Makonda!!
Na ww unakaza tu kichwa...kwani wamekwambia mawaziri na na ma RC wanashida na makonda? Unanapiga domo tu..hujui hata wanachama wanapatikana vipi...miaka yote kabla makonda mlitafuta wanachama? Bora hata yeye anawanachama wa kutoshaWaambie hao wakubwa wanaompa Makonda hiyo nguvu kuwa wanajipiga risasi mguuni.
Literally ni kukubali kuwa ameshindwa kutawala nchi. Akae pembeni wenye uwezo watuongoze
Uko nje ya mada sister Guluma . Hebu soma upya, siyo kukurupuka kujibu tuNa ww unakaza tu kichwa...kwani wamekwambia mawaziri na na ma RC wanashida na makonda? Unanapiga domo tu..hujui hata wanachama wanapatikana vipi...miaka yote kabla makonda mlitafuta wanachama? Bora hata yeye anawanachama wa kutosha
Sasa amekuwa RC Arusha. JE yuko tayari kuendeshwa na Katibu Mwenezi mpya wa CCM?Umesikika katika hotuba yako ya leo kuwa utawarukia mawaziri na wakuu wa mikoa. Nakutahadharisha wewe ni kama Ahmed Ally wa Simba au Ali Kamwe wa Yanga, huna nguvu ya kujipangia unachotaka. Una ripoti kwa Katibu Mkuu, ndiyo anakupa kitu cha kuongea.
View attachment 2793889