Makonda: Kesho kama huna gari aina ya Land Rover, baki tu nyumbani!

Makonda: Kesho kama huna gari aina ya Land Rover, baki tu nyumbani!

Ukitaka kujua nchi hii ni ya wapumbavu kiasi gani ,angalia kinachofanywa na kutamkwa na hawa waseng£ wanaoitwa viongozi aka watawala wa hii nchi na reaction ya wananchi wake .

Wakuu,

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.

Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.

Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"

Mambo ni mengi muda ni mchache!
 
Wakuu,

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.

Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.

Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"

Mambo ni mengi muda ni mchache!
Hii ndiyo tafsiri ya 0 Brain.
 
Ukitaka kujua nchi hii ni ya wapumbavu kiasi gani ,angalia kinachofanywa na kutamkwa na hawa waseng£ wanaoitwa viongozi aka watawala wa hii nchi na reaction ya wananchi wake .
Hamjamwelewa Makonda. Iko Hiviii kesho tarehe 12/10/2024 Jijini Arusha kuna LAND ROVER FESTIVAL ambayo inashkrikisha Wamiliki wa Land Rover toka Duniani kote. Inakadiriwa gari 1000+ aina ya Land Rover zitashiriki hiyo kesho na tukio hili linafuatiliwa Dunia nzima kwa sababu mara ya mwisho Festival ya Land Rover ilifanyika German kwa gari 632 na iko kwa Guiness Record.

Kwahiyo kesho hapo Arusha Tanzania inatafuta Guiness Record, Makonda ndiye RC na msimamizi wa Ugeni huo. Katika harakati za kuepusha JAM na foleni zisizo na msingi kutokana na wingi wa Rovers ambazo zipo arusha kwa Ugeni huo ndipo akaomba wale ambao hawana Rover kwa kesho kuwa wapole kupisha ugeni huo.
Shida hapa iko wapi? Nadhan sometimes tusichukie viongozi bila sababu. Hapa linapambaniwa Taifa na Utalii kwa ujumla. Utaifa kwanza, chuki zenu baadae.
 
Wakuu,

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.

Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.

Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"

Mambo ni mengi muda ni mchache!
Sijui tulimkosea nini Mungu.
 
Wakuu,

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.

Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.

Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"

Mambo ni mengi muda ni mchache!
Hapo mabilion ya fedhwa yashachotwa kimafia....
 
Wakuu,

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.

Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.

Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"

Mambo ni mengi muda ni mchache!
Anatumia ofisi ya umma kufanya matangazo ya biashara za Kampuni binafsi???
Kamati ya Maadili ilishamkita na hatia huyu lakini boss wake anazidi kumkumbatia na sasa anazidi kuvimba
 
Wakuu,

Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.

Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.

Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe

"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"

Mambo ni mengi muda ni mchache!
Makonda bhana ......
 
Kukumbushana muhimu

"Nguo ya kuazima haistiri ......... " waswahili wamesema
 
Back
Top Bottom