Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda BurundiHalafu Kuna watu wanampenda sana na wengine wanataka awe rais.... Hii nchi sijui nikimbilie wapi maana majinga majinga ndo yanasikilizwa na kuheshimika halafu sisi tunaojitambua ndo tunaonekana mapumbavu...
Wakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
Hii ndiyo tafsiri ya 0 Brain.Wakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
Hapana ni mke wangu ambaye ndo weweMbona na mumeo ni CHADEMA
Mustini 😀😀😀Wale wa IST mpoo?...
Chai moto kikombe cha bati...
Hamisha na bandari tupate uwanja wa kuhubiri dini 😀😀Hii ndiyo tafsiri ya 0 Brain.
🤣🤣🤣Una kuwa na RC mjinga kama huyu utegemee maendeleo
Hamjamwelewa Makonda. Iko Hiviii kesho tarehe 12/10/2024 Jijini Arusha kuna LAND ROVER FESTIVAL ambayo inashkrikisha Wamiliki wa Land Rover toka Duniani kote. Inakadiriwa gari 1000+ aina ya Land Rover zitashiriki hiyo kesho na tukio hili linafuatiliwa Dunia nzima kwa sababu mara ya mwisho Festival ya Land Rover ilifanyika German kwa gari 632 na iko kwa Guiness Record.Ukitaka kujua nchi hii ni ya wapumbavu kiasi gani ,angalia kinachofanywa na kutamkwa na hawa waseng£ wanaoitwa viongozi aka watawala wa hii nchi na reaction ya wananchi wake .
Sanawari🤣🤣🤣
Unaumia ukiwa wapi mkuu
Acha utani dada angu basiHapana ni mke wangu ambaye ndo wewe
Sijui tulimkosea nini Mungu.Wakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
Hapo mabilion ya fedhwa yashachotwa kimafia....Wakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
Anatumia ofisi ya umma kufanya matangazo ya biashara za Kampuni binafsi???Wakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
Makonda bhana ......Wakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
Dini ganiHamisha na bandari tupate uwanja wa kuhubiri dini 😀😀
Yoyote ile hata kama ya pale kaweDini gani