Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Maeneo mbona mengi tu hata bunge unaweza kulinunua likawa kanisa, ukichelewa nalinunua mimi nafugia kukuYoyote ile hata kama ya pale kawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maeneo mbona mengi tu hata bunge unaweza kulinunua likawa kanisa, ukichelewa nalinunua mimi nafugia kukuYoyote ile hata kama ya pale kawe
Makonda.Wakina nani?
Zero brainWakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
sas itauaje maana kila kona kuna wajingaHata chadema mnaongozwa na wajinga ndo maana mnakuwa manyumbu
Hiyo mikokoteni imelisaidia nini Taifa?Wakuu,
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema kuwa siku ya kesho ambayo kutakuwa na tukio kubwa la Land Rover Festival ambalo linafanyika huko jijini Arusha kama huna gari aina ya Land Rover paki tu gari lako nyumbani.
Makonda amesema kuwa kwa kuwa kesho kutakuwa na msafara wa gari zaidi ya 1000 aina ya Land Rover na kwamba kama unaishi Arusha na huna Land Rover baki tu nyumbani.
Soma pia: Godbless Lema: Land Rover Festival ni mkakati wa watu wasijiandikishe
"Kama huna jukumu lolote la muhimu la kutoka na gari basi kesho kama huna Land Rover baki tu nyumbani. Ningewaomba sana wananchi wa mkoa wa Arusha kama huna shughuli yoyote ile ya ulazima wa kutoka basi ningekuomba uvumilie siku ya kesho"
Mambo ni mengi muda ni mchache!
110 ni gari au zile HONDA 110 pikipiki za ma bwana shamba miaka ya 90Na 110 zinahusika au ni disco tu?
Si za kuitwa " lendirova wan teni" zipo kwenye festival ndio nyingi110 ni gari au zile HONDA 110 pikipiki za ma bwana shamba miaka ya 90
Mimi nimeshangaa watu kufunga toka dar..!! Kwasababu ya bashite?Una kuwa na RC mjinga kama huyu utegemee maendeleo
duh! nadhani 109 hazita sahaulika piaSi za kuitwa " lendirova wan teni" zipo kwenye festival ndio nyingi
dah! Basi na 109 zitakuwepo
Embu tulitee cheti cha kidato cha nne/sita kwa wafuatao;Tuvumilie maana tumechagua kuongozwa na wajinga
Ni kweli ndio maana tumekubali kuwa na viongozi wetu wa juu wenye elimu ambayo ni uthibitisho kwa ni wenye uwezo mdogo (below average minds)Ujinga tu.