Makonda: Kesho kama huna gari aina ya Land Rover, baki tu nyumbani!

Low IQ
 

Attachments

  • Screenshot_20241011_223347_Adobe Acrobat.jpg
    98.7 KB · Views: 1
Zero brain
 
Huyu mwamba ametisha

Land Rover Festival imefana, dogo apewe maua yake. Pamoja na issue zake nyingi za gizani, lakini hili ametenda

Arudishwe Dar es Salaam
 
Hiyo mikokoteni imelisaidia nini Taifa?
 
Ni kweli kabisa. Land Rover gari za wapambanaji, Crown, alteza, harrier ni ya walamba lips wabaki home.
 
Makonda ni kiongozi mzuri sema anamapungufu ya kibadamu
 
Woyoooooo.
Haters mpoooooo.
Tumevunja Rekodi ya Mjerumani GARI 1078 zimetosha kuiweka Tanzania kwenye Ulimwengu wa Guiness.
Wale wenye vibaby wokka ka mimi ruksa sasa tuingie barabarani maana mlinuna hadi mkaanzisha uzii. Maaaaamae
 
Tumesimika
 

Attachments

  • IMG-20241012-WA0016.jpg
    65 KB · Views: 1
Tuvumilie maana tumechagua kuongozwa na wajinga
Embu tulitee cheti cha kidato cha nne/sita kwa wafuatao;
1: Mzee Freeman Mbowe
2:Godbless Lema
3: Sugu,
4: Wenje
Ukishapata majibu ndio utajua kwani Chadema inasinyaaa kila uchao
 
Ujinga tu.
Ni kweli ndio maana tumekubali kuwa na viongozi wetu wa juu wenye elimu ambayo ni uthibitisho kwa ni wenye uwezo mdogo (below average minds)
1: Mbowe,Lema,Sugu na Wenje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…