Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amiinjapo si muhimu, ila itoshe tu kusema,
kila zama na kitabu chake 🐒
popote duniani, mitindo ya uongozi baina ya kiongozi moja na mwingine hutofautiana kulingana na falsafa na vipaumbele vya kiongozi husika. Na kwahivyo hayupo kiongozi wa kurithi kila kitu kutoka kwa mwingine alietangulia 🐒
by the way God Bless Tanzania
Dr Janabi: Haters wa mama Samia hatarini kujifungua kabla ya wakati.Hawawezi kufanana.magufuli aliinyoosha nchi lakini huyu wa sasa anaipindisha nchi.kila sekta inanuka uozo tu.
Mwamba uko vizuri sana, sijui kama utakuwa na tatizo lolote linalosababishwa na stress maana sijui kama stress zina nafasi kwako.japo si muhimu, ila itoshe tu kusema,
kila zama na kitabu chake 🐒
popote duniani, mitindo ya uongozi baina ya kiongozi moja na mwingine hutofautiana kulingana na falsafa na vipaumbele vya kiongozi husika. Na kwahivyo hayupo kiongozi wa kurithi kila kitu kutoka kwa mwingine alietangulia 🐒
by the way God Bless Tanzania
Hakuna mwenye akili timamu anaweza akampa kura ya ndiyo SSH.Daktari Magufuli aliwaachia madaktari waamue kuhusu chanjo ya Corona lakini Dr. Samia alihamasisha tena kwa kuchoma hadharani.
Dr. Magufuli hakusafiri sana nje ya nchi na kuwaachia mabalozi wa wakilishe watanzania, lakini Rais Samia hawaamini mabalozi na anaenda mwenyewe nje ya nchi.
Magufuli alipinga mikataba ya bandari kupewa wageni Samia kawapa wageni.
*Makonda ajieheshimu kwa kusema ukweli, aache unafiki. Sisi watanzania wa leo tunasikia ukweli na uongo, tunaona mazuri na mabaya, tunatembea Kusini na Kaskazini hata Mashariki na Magharibi.
Watanzania tunapendana kuliko viongozi wanavyofikiri. Watanzania sasa wanajiongoza kuliko uongozi unavyowaongoza wananchi.* Kifupi sasa hivi viongozi wakiwa katika kofia ya uongozi wanafanya sanaa, wakiwa maisha ya kawaida (wakiwa nje ya kofia ya uongozi) ndipo wanapoongoza watanzania.
Hatuwezi kusema uongo, kama Rais Dr. SSH atenganishwi na Rais Dr. JPM basi ni kwa maneno tu.
Kwa matendo Samia anaenda kinyume na Magufuli.
kwa Neema na Baraka za Mungu tupo hivi tulivyo 🐒Mwamba uko vizuri sana, sijui kama utakuwa na tatizo lolote linalosababishwa na stress maana sijui kama stress zina nafasi kwako.
Amina!!!kwa Neema na Baraka za Mungu tupo hivi tulivyo 🐒
Kwan maguful alikuwa ni mungu mpaka Samia afate yeye tu ,kila rais aliyepita apa nchini ana mazur yake lakin au mnasema magufu kwakuwa ameshakufaNdugu zangu Watanzania,
Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .
Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.
Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.
Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Msikiti wa Bakwata haukuombwa na Jiwe yaani !Ndugu zangu Watanzania,
Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .
Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.
Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.
Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.
Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Kwa hiyo uliombwa na nani.