GwaB
JF-Expert Member
- Mar 19, 2014
- 4,291
- 5,786
Haiitwi hivyo kwa sababu kuna watu au kikundi kimeamua(take advantage of...) na kupotosha kwa maslahi yao binafsi.Jibu swali langu,kama Iko hivyo Kwa nini haiitwi hivyo?
Hila hizo zimefanikiwa kwa sababu; wananchi walio wengi hawafuatilii mambo ya siasa sana na hivyo kutoa uhuru kwa wanasiasa kusema au kufanya lolote wakiamini kuwa hakuna anayefuatilia.....
Naamini nimejibu swali lako japo kwa kifupi!.