Hayo maswali Sasa angeulizwa Makonda kwamba hii ni awamu ya 6 Kwa Ilani ipi?
Pili awamu ya 6 hakuna lugha ya wanyonge hiyo ni tofauti mojawapo ambayo Makonda anatakiwa kujua.
Kuhusu miradi anzia hapa 👇
-Miradi ya Kilimo Cha Umwagiliaji zaidi ya Bil.300 ikiwemo BBT
-Miradi ya Maji ,Mama kumtua ndoo kichwani mwanamke hapa kachapa mamirai ya mabilioni Kila Mkoa ,Wilaya na Vijijini nikiweka orodha nitajaza seva
-Miradi ya Afya , nadhani unakumbuka Mkopo wa COVID 19,tozo za miamala nk ,hapa mama amejenga zaidi ya vituo vya Afya 450 vs 350 vya Mwendazake,hapo sijataja mavitendea kazi
-Ukija kwenye Ajira ndio usiseme ,yule mwingine alikuwa anasingizia Sgr na bwawa 🤪🤪🤪
Kiufupi Mama ni nouma zaidi ndio maana wazee wa legacy mnayumba 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁