Makonda: Kuna UJINGA unaendelea wa kumtofautisha Hayati Magufuli na Rais Samia

Makonda: Kuna UJINGA unaendelea wa kumtofautisha Hayati Magufuli na Rais Samia

Adabu mnazo nyie kunguni ; sisi wananchi tunabaki na ukweli kuwa utupu wa Samia ndio neema kwa mafisadi wake!!
Leo hii waziri wa afya Ummy ananunua nyumba ya shilingi billioni moja hapo pwani ya Mbezi beach; hizo hela kazipata wapi kama sio za wizi? Na Takukuru wapo wanasinzia nchi inakuliwa!
Sahivi wanapakuwa kishenzi
 
Ndio maana hizi itikadi zenu za kisiasa zinawasumbua sana watu.

Achaneni na itikadi za kisiasa just be the President supporter inatosha sana hii
 
Mimi nimeleta kama ilivyo na kama alivyotamka .na leo sitaki kutia neno lolote lile nasoma tu maoni yenu wasomaji wangu.
Sasa nyie ccm mmechanganyikiwa? Mbona mkienda kwenye mambo ya Magufuli yaliyo ya hovyo mnamtenga na huyo "mama yenu" lakini kwenye yale ya kupigiwa mfano mnataka kuwaunganisha?
*Alipoanza kutimiza ndoto yake ya kuruka angani na kuwa kama Air hostess mkasema anafungua uchumi wa diplomasia tofauti na Magu.
*Watu kupotea na kushambuliwa mama yenu mkamtenga na huko na kusema yuko tofauti naye maana kafutia watu kesi za "kubambika" na ni mwema kuliko yule. Na mengine mengi tuu ikiwapo kuongeza mshahara "kiduchu" mwaka juzi huku mkisema ana moyo wa ajabu tofauti na yule.
LAKINI:
  • Mkizindua mradi wa umeme mkajua hapo hakwepeki, mkaanza mama yenu na yule bwana ni kitu kimoja ili naye aingie kwenye sifa hizo.
  • Ndege imekuja hapo napo mmeanza tena, na hapa mkaamua kutumia "vuvuzela" lisilo aibu litukane kabisa, "wanaomtenganisha 'mama yetu' na magu ni wanasiasa uchwara na wanaojipendekeza kwake".
Sasa tutaona hao wanasiasa uchwara wenye kujipendekeza kumpa sifa "mama yenu" na kumponda kiaina magu jee wataendelea na tabia hiyo?
Vuvuzela yeye anataka kuunganisha matendo yale mabovu (sio mazuri) ya mwendazake kwa sababu aliyashiriki, na nyie kina Mwashambwa msiotumia [emoji3447] bali tumbo hamuwezi liona hilo na poleni kwa kupelekeshwa kama ng'ombe.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Not his fan, but huwezi kutenga mafanikio ya Rais Samia na Rais Magufuli, wametegemeana.
 
Hayo maswali Sasa angeulizwa Makonda kwamba hii ni awamu ya 6 Kwa Ilani ipi?

Pili awamu ya 6 hakuna lugha ya wanyonge hiyo ni tofauti mojawapo ambayo Makonda anatakiwa kujua.

Kuhusu miradi anzia hapa 👇
-Miradi ya Kilimo Cha Umwagiliaji zaidi ya Bil.300 ikiwemo BBT
-Miradi ya Maji ,Mama kumtua ndoo kichwani mwanamke hapa kachapa mamirai ya mabilioni Kila Mkoa ,Wilaya na Vijijini nikiweka orodha nitajaza seva
-Miradi ya Afya , nadhani unakumbuka Mkopo wa COVID 19,tozo za miamala nk ,hapa mama amejenga zaidi ya vituo vya Afya 450 vs 350 vya Mwendazake,hapo sijataja mavitendea kazi
-Ukija kwenye Ajira ndio usiseme ,yule mwingine alikuwa anasingizia Sgr na bwawa 🤪🤪🤪

Kiufupi Mama ni nouma zaidi ndio maana wazee wa legacy mnayumba 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Tatizo unaangalia makaratasi ya Mwigulu bila kuangalia kilichofanyika! Maneno ni mengi kuliko vitendo!
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .

Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.

Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.

Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Yaani, hili nalo linatakiwa kutolewa maelekezo...
 
Makonda kafumua mzinga wa nyuki. Majibu atayapata si muda mrefu.
Maneno yake ukiyachunguza kwa umakini mkubwa, anasema Rais Samia hatoshi. Ile ilikuwa awamu ya tano sasa tupo awamu ya sita.
Pombe alikuwa na akili yake. Samia ana akili yake. Hawawezi kuwa sawa hata kama ilani ni ile ile na CCM ni ile ile.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .

Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.

Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.

Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Namba ya simu Iko wapi Mwashambwa
 
Na vipi kuhusu wale wenye chuki na mama Samia Suluhu Hassan, The Mother of Modern Tanzania, ambao hawataki kabisa kulitaja jjna la Samia katika mafanikio ya JPM?!!!!
Wote wameonywa na kupewa onyo kali.maana amesema huwezi kuwatenganisha kwa lolote lile.
 
Hayo maswali Sasa angeulizwa Makonda kwamba hii ni awamu ya 6 Kwa Ilani ipi?

Pili awamu ya 6 hakuna lugha ya wanyonge hiyo ni tofauti mojawapo ambayo Makonda anatakiwa kujua.

Kuhusu miradi anzia hapa 👇
-Miradi ya Kilimo Cha Umwagiliaji zaidi ya Bil.300 ikiwemo BBT
-Miradi ya Maji ,Mama kumtua ndoo kichwani mwanamke hapa kachapa mamirai ya mabilioni Kila Mkoa ,Wilaya na Vijijini nikiweka orodha nitajaza seva
-Miradi ya Afya , nadhani unakumbuka Mkopo wa COVID 19,tozo za miamala nk ,hapa mama amejenga zaidi ya vituo vya Afya 450 vs 350 vya Mwendazake,hapo sijataja mavitendea kazi
-Ukija kwenye Ajira ndio usiseme ,yule mwingine alikuwa anasingizia Sgr na bwawa 🤪🤪🤪

Kiufupi Mama ni nouma zaidi ndio maana wazee wa legacy mnayumba 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁
Samia anatekeleza mpya?
 
Back
Top Bottom