Makonda: Kuna UJINGA unaendelea wa kumtofautisha Hayati Magufuli na Rais Samia

Makonda: Kuna UJINGA unaendelea wa kumtofautisha Hayati Magufuli na Rais Samia

Kupo shwari kabisa na ndio maana kazi za utekelezaji wa ilani ya CCM zinaendelea vyema kabisa pasipo kukwama wala kusua sua.
Utajuaje na wewe unachojua ni kusifia tu,kama unazo akili za kutosha unajua tafsiri ya kauli ya Makonda ya leo. Au yale madongo unafikiri alikuwa anawatupia kina nani?
 
Katika hilo Makonda nakuunga mkono. Kama taifa hili na Afrika kwa jumla tunataka kupiga hatua na kukata minyororo ya mabepari wenye uchu, hakuna namna ya kukwepa baadhi ya mitazamo na actions za Baba Magufuli.
Mafanikio yanamhusisha JPM ila failures mnasema Mama ndio kafeli... mbona sasa unafiki ni ule ule
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .

Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.

Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja.hivyo anachokifanya Rais Samia ni Katika kuendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.

Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando Hayati Dkt Magufuli katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
Huyo anawazuga watu tuu 🤣🤣🤣
 
Tuwe wakweli porojo na kelele mnazosikia kwamba hawa watu wawili wasitenganishwe ni kutoutendea haki ukweli.

Wakati Mkurugenzi wa TRC anasema Dr Samia ameizidi Ugerman ktk kuboresha miundo mbini ya Reli basi msipinge.

Kwanza kuwepo kwa kelele za kutaka watu wasiwatofautishe tayari ndio ukweli wemyewe kwamba wanatofautiana.

Bila kwenda into too much details Dr Samia na aliyekuwa Dr Magufuli wanatofautiana kwa mbali mno.


Maji na mafuta hayachangamani.

Pole kwa kazi nzito Comrade Paul Makonda Katibu Mkuu, Itikadi na Uenezi CCM Taifa. Na wewe utendee haki ukweli.

Ramadhan Kareem
 
Safi sana makonda.umesema ukweli kabisa bila kujipendekeza.Hii tabia ya viongozi mbumbumbu kumchafua mpendwa wa watanzani ndugu magufuli ikome mara moja.2025makonda tunakuhitaji watanzani tuliowengi ispokuwa tu mbumbumbu wachache ambao hawafiki hata miamoja
 
Ninakubaliana na Makonda tatizo la sasa ni unafiki wa kunasabisha mafanikio na mtu binafsi na siyo ilani au sera ya chama,wakati wa Nyerere,Mwinyi na Mkapa kilichoangaliwa ni mafanikio ya Ilani na siyo Rais kama mtu binafsi,wananchi wanapigia Ilani iliyo nzuri. fullstop
Ilani ipo siku zote lakini ilani si kitu hai. Ni watu ndio wanafanya kazi. Ndio maana huwa kuna uchaguzi, na kazi yake si kubadili ilani bali watu. Ndio maana kuna mahakama, lengo lake si kuhukumu ilani bali watu. Ultimate point ni WATU - ndio maana Magufuli anastahili sifa nyingi.
 
Mafanikio yanamhusisha JPM ila failures mnasema Mama ndio kafeli... mbona sasa unafiki ni ule ule
Hakuna Cha kufeli,shida hapa walinda Ligacy wameona Samia kawafunika Sasa wanalazimisha 😁😁😁

Angalia mfano wa ukweli huu
20240325_140420.jpg
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .

Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.

Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.

Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
January,
February
March
 
Kipindi cha Samia ni msimu wa mavuno, punguzeni kelele ya kesho hatujui.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi leo wala sina maneno mengi ila nataka tu kuwaambia kuwa katika siku ya leo ambapo ni siku ya mapokezi ya ndege mpya iliyonunuliwa na serikali yetu ya CCM. Mheshimiwa Paul Makonda Katibu wa itikadi, uenezi na mafunzo wa CCM Taifa .

Kwa hasira kali na kuonyesha moyo wake kujaa jazba na uchungu moyoni ametumia muda wa dakika mbili aliopewa kusalimia kuwashambulia wanasiasa aliowaita wanafiki,wajinga na wanasiasa uchwara wanaojipendekeza na kutaka kuonyesha kuwa mafanikio yaliyopatikana chini ya uongozi wa Rais Samia kuwa Hayati Dkt Magufuli hahusiki nayo.

Amesema huo ni unafiki mkubwa sana na ujinga kwa sababu Rais Samia anatekeleza ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025.ambayo Rais Samia na Hayati Dkt Magufuli waliinadi kwa pamoja kwa kuzunguka katika Taifa zima.hivyo anachokifanya Rais Samia ndicho alichofanya Hayati Dkt Magufuli na huwezi kuwatenganisha au kuwatofautisha ,hivyo Rais Samia anaendelea na kazi hiyo ya utekelezaji wa ilani ya CCM.

Ametoa marufuku na onyo kali kwa wanasiasa kuwa leo iwe ndio mwisho wa tabia hiyo ya unafiki na ujinga huo wa kumuweka kando au kuwatenganisha Hayati Dkt Magufuli na Rais Samia katika mafanikio ya Rais Samia. amesema kuwa Waziri Mkuu Mh kasimu Majaliwa ndiye yule yule waziri mkuu wao wote wawili yaani Hayati Dkt Magufuli pamoja na Rais Samia na Serikali ni moja na chama ni kile kile kimoja yaani CCM.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.
MAGUFULI alikuwa RAIS wa Awamu ya 5 na ilani yake ndio iliyopo tunashangaa AWAMU ya 6 imeanza lini na Ilani yake ni ipo?
Kuwatofautisha ni Sawa
 
Tuwe wakweli porojo na kelele mnazosikia kwamba hawa watu wawili wasitenganishwe ni kutoutendea haki ukweli.

Wakati Mkurugenzi wa TRC anasema Dr Samia ameizidi Ugerman ktk kuboresha miundo mbini ya Reli basi msipinge.

Kwanza kuwepo kwa kelele za kutaka watu wasiwatofautishe tayari ndio ukweli wemyewe kwamba wanatofautiana.

Bila kwenda into too much details Dr Samia na aliyekuwa Dr Magufuli wanatofautiana kwa mbali mno.


Maji na mafuta hayachangamani.

Pole kwa kazi nzito Comrade Paul Makonda Katibu Mkuu, Itikadi na Uenezi CCM Taifa. Na wewe utendee haki ukweli.

Ramadhan Kareem
Kwa ubongo wako na wewe uamini kabisa kuwa Tanzania chini ya Samia Suluhu tumeizidi Germany katiba uboreshaji wa miundombinu??
Mzee unaijua Ujerumani au unaisikia tu??
Hapa tu aisee we ni kichekesho.
 
Tatizo linaanzia hapo Msoga kwenye ile familia ya "Fisi"
Wa Taifa.
Tamaa iko mbele kuliko utu wao.
Baba anakula 80% ya mshahara wa Rais aliyepo madarakani.
Mama Mbunge,anakula mshahara mnomo na marupurupu yoote.ikiwemo hii aliyojipendekezea hivi karibuni "Mafao ya wenza wa viongozi wastaafu".
Mtoto Mbunge na waziri mwandamizi akiishi kwa matarajio ya URITHI Mkubwa huko mbeleni.

Lakini hawatosheki na sasa wanaratibu kuua Legacy ya Magufuli kwa siku zoote!
It is none of our business! Kulaneni hadi kucha!
 
Mama Samia amewawezesha wakina Kadogosa kufanya ufisadi uliokithiri!!
Mwamba Magu angekuwa hai SGR ingekwisha kamilika. Kinana angekwisha kimbia nchi na Kikwete angejifungia kwao Msoga akichunga punda!
Acha kumchafua Mh Rais. Na uwe na adabu kwa Rais.
 
Back
Top Bottom