Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Mbona umepaniki au wewe ni mgonjwa wa akili.Kila Akiongea unatubebea ninani anakuulizaga alichosema???
Rubbish!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umepaniki au wewe ni mgonjwa wa akili.Kila Akiongea unatubebea ninani anakuulizaga alichosema???
Rubbish!!
Funzo la nini tena.Iwe funzo kwako na machawa wengine
Huyu chawa anahangaika sana kama kuku aliyekatwa kichwaKila Akiongea unatubebea ninani anakuulizaga alichosema???
Rubbish!!
Hunaga hata hoja nikusifia yaliyosemwa na wanaume!!Mbona umepaniki au wewe ni mgonjwa wa akili.
kama tetea linalokimbizwa na jogoo yaaniHuyu chawa anahangaika sana kama kuku aliyekatwa kichwa
Kwani umeshamaliza matibabu ya akili Mirembe na kuruhusiwa na daktari au umetoroka?Hii tabia wanayo sn UWT
Bado mkuu, vipi leo modem umeachiwa na Katibu?Kwani umeshamaliza matibabu ya akili Mirembe na kuruhusiwa na daktari au umetoroka?
Si unaona maswali yako .ndio maana nasema wewe bado ni mgonjwa na hujapata hata unafuuBado mkuu, vipi leo modem umeachiwa na Katibu?
Siujibu, tatizo ni nini?Si unaona maswali yako .ndio maana nasema wewe bado ni mgonjwa na hujapata hata unafuu
Uwe na adabu kwa kaka zako dogo.Siujibu, tatizo ni nini?
Adabu mnazo nyie kunguni ; sisi wananchi tunabaki na ukweli kuwa utupu wa Samia ndio neema kwa mafisadi wake!!Acha kumchafua Mh Rais. Na uwe na adabu kwa Rais.
Majibu ya ninichawa majibu mmepata
jamaa anapenda kutrend sanaMakonda katika sherehe za kuipokea ndege mpya ya ATCL (BOEING 737-9 MAX) jijini Dar; amekemea tabia inayoonekana kuanza kukua na kukomaa kwa baadhi ya viongozi wa Serikali kwa ngazi mbalimbali ya kujaribu kutenganisha mafanikio yanayoendelea kutokea chini ya Rais Samia na kipindi cha awamu ya tano chini ya JPM.
Wakijaribu kuchafua huku na kusifia huku. Kitendo kicho makonda amekemea na kutaka tabia hiyo ife kuanzia leo.
Kwani hata kipindi cha kuomba kura wawili hao walizunguka kila mahali pamoja akiwemo waziri mkuu kasimu majaliwa.
Awataka waache UNAFIKI na KUJIKOMBAKOMBA.
CCM ina watu wajinga snHivi yule aliyetamka kuwa mjeremani kashindwa si yumo katika kunangwa huku kupya????
UWT imejaa watu wajinga sn, hawana majibuchawa majibu mmepata