Pre GE2025 Makonda kusikiliza kero zenye kesi Mahakamani Arusha, asema yupo tayari kupoteza chochote mradi mtu apate haki yake

Pre GE2025 Makonda kusikiliza kero zenye kesi Mahakamani Arusha, asema yupo tayari kupoteza chochote mradi mtu apate haki yake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Mbona Makalla na Makonda wanakinzana? Kile kikao cha maadili alichoenda April hakikufanya kazi?

Anataka kutuambia kuwa anakubali watu huwa wanaonewa kutokana na umasikini wao na hivyo kukosa haki? Kwamba bila ya kuwa na hela huwezi kutoboa Mahakamani?

=====


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amesema yeye na timu yake watasikiliza kero zote za wananchi wa Arusha hata kama kesi hizo zipo mahakamani kwa kuwa, wapo wanasheria aliowaandaa kwa ajili ya kwenda kusikiliza kesi hizo.

“Hata kama una kesi mahakamani lakini huelewi mwenendo wa kesi unavyokwenda, inawezekana wewe ni masikini, mama mjane, mtoto au yatima nimekuandalia wanasheria bingwa tutakwenda nao mahakamani kutetea haki yako kwa hiyo usiogope,”amesema.

Makonda amesema hayo leo Mei 8, 2024 kwenye kliniki ya kusikiliza kero za wananchi mkoani Arusha.

PIA SOMA
-
Makalla: CCM tunaheshimu Mahakama kama chombo cha kutoa haki, hatuingilii kesi zinazosikilizwa huko
 
Mbona Makalla na Makonda wanakinzana? Kile kikao cha maadili alichoenda April hakikufanya kazi?

Anataka kutuambia kuwa anakubali watu huwa wanaonewa kutokana na umasikini wao na hivyo kukosa haki? Kwamba bila ya kuwa na hela huwezi kutoboa Mahakamani?

=====

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amesema yeye na timu yake watasikiliza kero zote za wananchi wa Arusha hata kama kesi hizo zipo mahakamani kwa kuwa, wapo wanasheria aliowaandaa kwa ajili ya kwenda kusikiliza kesi hizo.

“Hata kama una kesi mahakamani lakini huelewi mwenendo wa kesi unavyokwenda, inawezekana wewe ni masikini, mama mjane, mtoto au yatima nimekuandalia wanasheria bingwa tutakwenda nao mahakamani kutetea haki yako kwa hiyo usiogope,”amesema.

Makonda amesema hayo leo Mei 8, 2024 kwenye kliniki ya kusikiliza kero za wananchi mkoani Arusha.

====
Na bado.. hiki ni "KINYAGO" walicho kichonga wenyewe, leo kinawatisha "WANAKIMBIA"
 
Mbona Makalla na Makonda wanakinzana? Kile kikao cha maadili alichoenda April hakikufanya kazi?

Anataka kutuambia kuwa anakubali watu huwa wanaonewa kutokana na umasikini wao na hivyo kukosa haki? Kwamba bila ya kuwa na hela huwezi kutoboa Mahakamani?

=====

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amesema yeye na timu yake watasikiliza kero zote za wananchi wa Arusha hata kama kesi hizo zipo mahakamani kwa kuwa, wapo wanasheria aliowaandaa kwa ajili ya kwenda kusikiliza kesi hizo.

“Hata kama una kesi mahakamani lakini huelewi mwenendo wa kesi unavyokwenda, inawezekana wewe ni masikini, mama mjane, mtoto au yatima nimekuandalia wanasheria bingwa tutakwenda nao mahakamani kutetea haki yako kwa hiyo usiogope,”amesema.

Makonda amesema hayo leo Mei 8, 2024 kwenye kliniki ya kusikiliza kero za wananchi mkoani Arusha.

====
Si ajiuzulu uccm kama anaona ccm wenziwe wanaonea watu
 
Hakuna sheria inayozuia kusikiliza au kujadili kesi iliyoko mahakamani.
 
Mbona Makalla na Makonda wanakinzana? Kile kikao cha maadili alichoenda April hakikufanya kazi?

Anataka kutuambia kuwa anakubali watu huwa wanaonewa kutokana na umasikini wao na hivyo kukosa haki? Kwamba bila ya kuwa na hela huwezi kutoboa Mahakamani?

=====


Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda amesema yeye na timu yake watasikiliza kero zote za wananchi wa Arusha hata kama kesi hizo zipo mahakamani kwa kuwa, wapo wanasheria aliowaandaa kwa ajili ya kwenda kusikiliza kesi hizo.

“Hata kama una kesi mahakamani lakini huelewi mwenendo wa kesi unavyokwenda, inawezekana wewe ni masikini, mama mjane, mtoto au yatima nimekuandalia wanasheria bingwa tutakwenda nao mahakamani kutetea haki yako kwa hiyo usiogope,”amesema.

Makonda amesema hayo leo Mei 8, 2024 kwenye kliniki ya kusikiliza kero za wananchi mkoani Arusha.

====
Jini walilofuga muda mrefu linatoka kwenye chupa.
hawaponi hawa
 
Huyu ni mtu wa ndani wa CCM anajua rushwa inavyonuka katika mihimili yote,mahakamani, anayeshitaki anahonga, mpaka jaji, Rostam alishawahi kutamka, mahakimu wanapokea maagizo kutoka juu, nchi yetu tunaijua, ni deal kila Kona.

Huwa, nafatilia siasa za, Kenya, kujua jinsi, nchi, za, Afrika, zilivyooza, Kama Kenya, pamoja na, Uhuru wa habari,mahakama, katiba Maya, lakini kuna ufisadi wa kutisha, kwenye mwanga kibao vile, lakini ufisadi upo,fikiria hapa bongo, ambapo bado tupo gizani, hakuna Uhuru wa, habari, hakuna chombo cha habari kinarusha mikutqno ya upinzani, ITV, wasafi, efm,hawawezi! Ni, wizi, kiasi, gani, unaendelea
 
Anamakosa yepi hapo?

Unajua, mnaomshambulia Makonda mnajikuta wajinga sometimes

Makonda anasema, anawasheria wa kuwasaidia watu ambao pengine kesi zao ni za kubumba, yeye yupo kutoa gharama zote za wanasheria hao kuwasaidia watu kesi zao

Lipi kosa la makonda?
 
Hizo ni kanuni za utawala bora.

Mihimili ya dola kutoingiliana.
Kusikiliza, kuchambua au kujadili kesi zilizoko mahakamani sio kuingilia mahakama.
Mtu yeyote kusikiliza, kuchambua au kujadili kesi iliyoko mahakamani ni sehemu ya utawala bora, mahakama hazitakiwi kufanyia kazi zao gizani.
 
Anataka kutuambia kuwa anakubali watu huwa wanaonewa kutokana na umasikini wao na hivyo kukosa haki? Kwamba bila ya kuwa na hela huwezi kutoboa Mahakamani?

Pigia mstari hii paragraph, haya ndio maisha ya mahakamani.
 
Back
Top Bottom