Makonda kuwa Waziri kwenye Wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

Makonda kuwa Waziri kwenye Wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,,
Pili Nawasalimu Kwa jina la Ccm,
Tatu karibu sana Brother,nakutana mara tatu Makonda,makonda,makonda.
Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,,
Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne,hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Yote mema tu
 
Mark my words. CCM wanaweza wakawa wamefanya ujinga kumteua mtu ambaye haya vyombo vy dola vilimkataa kuwa mwenezi ila haitokuja kufanya hilo kosa la kumteua kuwa mgombea wa Urais 2030.

Hata hili walilolifanya sasa ni risk sana kwao maana makonda hata vyombo vya dola ambavyo ndo nguzo ya ccm vilimkataa tangu kipindi cha mzee magu.
Ccm ni kubwa kuliko hivyo vyombo vya dola ndio maana wamevipuuza tu na wakampa Makonda ulaji.
 
Mark my words. CCM wanaweza wakawa wamefanya ujinga kumteua mtu ambaye haya vyombo vy dola vilimkataa kuwa mwenezi ila haitokuja kufanya hilo kosa la kumteua kuwa mgombea wa Urais 2030.

Hata hili walilolifanya sasa ni risk sana kwao maana makonda hata vyombo vya dola ambavyo ndo nguzo ya ccm vilimkataa tangu kipindi cha mzee magu.
CCM na dola nani mkubwa??
Kuna tofauti kati ya CCM na dola?
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,,
Pili Nawasalimu Kwa jina la Ccm,
Tatu karibu sana Brother,nakutana mara tatu Makonda,makonda,makonda.
Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,,
Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne,hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Urais kwa vyeti hivyo vya watu? Taifa langu nakuliliaaa....
 
Mark my words. CCM wanaweza wakawa wamefanya ujinga kumteua mtu ambaye haya vyombo vy dola vilimkataa kuwa mwenezi ila haitokuja kufanya hilo kosa la kumteua kuwa mgombea wa Urais 2030.

Hata hili walilolifanya sasa ni risk sana kwao maana makonda hata vyombo vya dola ambavyo ndo nguzo ya ccm vilimkataa tangu kipindi cha mzee magu.
Huna ujualo
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,,
Pili Nawasalimu Kwa jina la Ccm,
Tatu karibu sana Brother,nakutana mara tatu Makonda,makonda,makonda.
Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,,
Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne,hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!


😂😂 mnampenda jamaa
 
Ninachompendea Makonda ni mpenda maendeleo ya watu na vitu.
Japo, anahitaji "backup" ili atekeleze vizuri majukumu yake.
Kwa kweli akiwa Rais, nchi itakwenda kwa kukimbia kama siyo kupaa kabisa katika suala la maendeleo..
Ee Mungu baba, mbariki Makonda ili huu utabiri wa kuwa Rais ifikapo 2030 uweze kutimia,
Amina.
 
Jamaa ulivyotabiri magu kuwa rais Sasa umerudi
Huyu jamaa mm namuogopa mbaya. Kwanza haandiki hovyo hovyo humu JF. Anaandika uzi (thread) mmoja halafu anapotea kwa miaka kadhaa

Mm nilidhani kafariki, kumbe yupo hai. Alochokiandika leo nakichukua na kukitunza.

Endapo kitatimia na Makonda akawa rais 2030 mm nitatembea uchi kutoka Dar mpk Kigoma .
 
Back
Top Bottom