Makonda kuwa Waziri kwenye Wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

Makonda kuwa Waziri kwenye Wizara nyeti 2025 na mgombea urais 2030, na kuwa the Next Magu

Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Pili Nawasalimu Kwa jina la CCM
,
Tatu karibu sana Brother, nakutaja mara tatu Makonda, Makonda, Makonda. Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,, Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne, hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Kama atakuwa hajafa wala kuvurunda kwa tamaa na ujinga wake. May he perish soon?
 
Tatizo Msoga gang labda wenyeviti wa hilo kundi itokee kazi yake mola haina makosa
 
Bora usisubiri.
Hapa Makonda anatumiwa kama toilet paper kuwapoza wasukuma ili kupunguza makali ya 2025.

Ukweli mchungu Msoga wenye nchi kamwe hawataki hata kumsikia Makonda.
Pia Kinana na Makonda haziivi hata chembe
Na wewe acha uwongo,chama na serikali vyote vipo chini ya Msoga kwasasa,sasa utasemaje hawamtaki?
Samia na Makonda ni timu Msoga toka kitambo na ata U-DC Makonda aliteuliwa na JK.Issue ya kukengeuka kwenye U-RC ilikuwa ni kumfurahisha JPM ambaye naye alimgeuka JK.
Makonda alikuwa informer mzuri wa Msoga ndani serikali ya JPM na ata Marehemu Membe alipona mkono wa JPM kwa msaada wa Makonda kutoa taarifa za plots.
Siasa ni mchezo mchafu Mjomba!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Na wewe acha uwongo,chama na serikali vyote vipo chini ya Msoga kwasasa,sasa utasemaje hawamtaki?
Samia na Makonda ni timu Msoga toka kitambo na ata U-DC Makonda aliteuliwa na JK.Issue ya kukengeuka kwenye U-RC ilikuwa ni kumfurahisha JPM ambaye naye alimgeuka JK.
Makonda alikuwa informer mzuri wa Msoga ndani serikali ya JPM na ata Marehemu Membe alipona mkono wa JPM kwa msaada wa Makonda kutoa taarifa za plots.
Siasa ni mchezo mchafu Mjomba!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Muda utaongea
 
Majanga yajayo juu ya Dunia, upepo na dhoruba Kali vitakapopita, pakatulia,

Atatafutwa Yusuph asaidie.
Ndipo mjoli wa Bwana atakapoinuliwa na kuijenga Dar upya iliyopigwa ikapigika,ndipo Kila kitu kitakapoanza upya hapa Tanzania kama baada ya gharika!

Nipo hapa namuonba mungu anipe uhai niione Tanzania mpya ya mjoli wa Bwana!!
 
Mark my words. CCM wanaweza wakawa wamefanya ujinga kumteua mtu ambaye haya vyombo vy dola vilimkataa kuwa mwenezi ila haitokuja kufanya hilo kosa la kumteua kuwa mgombea wa Urais 2030.

Hata hili walilolifanya sasa ni risk sana kwao maana makonda hata vyombo vya dola ambavyo ndo nguzo ya ccm vilimkataa tangu kipindi cha mzee magu.
Yes alivitumia kama manamba, hapa ndio watajua hawajui. Army the military can't be this stupidity.

Yeye kuwa DC alidharau sana jeshi,alilitumia vby, akawa RC akalitumia hovyo. Viongoz kama bashite huweza kusanabisha mapinduzi
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Pili Nawasalimu Kwa jina la CCM
,
Tatu karibu sana Brother, nakutaja mara tatu Makonda, Makonda, Makonda. Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,, Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne, hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Waliotoshwa enzi za Mama sasa mmeanz akurudi


Magamba mawili karibu tena. Pole kwa likizo isiyo na malipo
 
Mark my words. CCM wanaweza wakawa wamefanya ujinga kumteua mtu ambaye haya vyombo vy dola vilimkataa kuwa mwenezi ila haitokuja kufanya hilo kosa la kumteua kuwa mgombea wa Urais 2030.

Hata hili walilolifanya sasa ni risk sana kwao maana makonda hata vyombo vya dola ambavyo ndo nguzo ya ccm vilimkataa tangu kipindi cha mzee magu.
Hii mpya
 
Kwanza Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Pili Nawasalimu Kwa jina la CCM
,
Tatu karibu sana Brother, nakutaja mara tatu Makonda, Makonda, Makonda. Nchi ilikosa mtu mwenye neno lenye maamzi,na Zaid Mkoa wa Dar ilipoa sanaaaa,, Narudia karibu sana Lumumba head office bro.

Kuna wakat inatakiwa uwe mkimya mbele za watu hata kama umewakosea au wamekukosea,ndicho ulichokifanya,uliwaacha Watanzanja waongee Yao ya moyoni mpaka walizike,na baada ya kumaliza kuongea hukujibu chochote,Ulikaa kimya kama ambavyo Mimi MAGAMBA MATATU hua nakaa kimya Kwa mwaka naweza toa Post Moja tu Kwa mwaka Jamii forum,au nisitoe kabisa,,hapa ndio unaukumbuka wimbo wa Diamond wenye verse "nimeambiwa niwe kimya "

Hilo umefaulu na hatimae mama kama mwenyekit wa Chama kaona kuwa ulitimiza wajibu wako kama kiongozi,ulitimiza wajibu wako kama mkuu wa mkoa toka Kwa mamlaka, maana ukiteuliwa umeteuliwa ni wajibu utimize mamla uliyopewa,japo wengi waliona kuwa ulifanya ndivyo sivyo, na wengi walifiliki kukukashifu ilihali wakijua ndo umepotezwa ndani ya Chama baada ya Jemedali Magu kutoka,

Sasa Chama kimekuamin na kujua ulitimiza wajibu toka Kwa mamlaka, Narudia WELCOME BRO,japo wanafiki utawaona wakirud kwako Kwa mgongo wa NYUMA,najua ww n smart thinker.

Nne, hapa msiponielewa mtanielewa baada ya Miaka 7 ijayo na mtarud na kunitafuta hii thread,,Huyu Makonda atakuwa waziri kwenye wizara nyeti mwaka 2025 na Zaid atagonbea urais 2030 na atakua the Next Magu,,kama hutaki nenda rumumba head office mvue cheo hiki alichopewa Leo..

Welcome bro..

Jion njema!
Polepole ndiyo anatakiwa kupewa kugombea 2025 siyo muhuni saa mia moja mbovu

Sent from my SM-A325F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom