Makonda: Kwa taarifa yenu sifi! Mtege sumu kwenye vyumba mnapoteza muda tu

Tangu kuanzishwa kwa CCM, siasa za kurogana na kuwekeana sumu na kuuana ndiyo jadi yao.

Kwa sisi tuliokuwa na akili miaka ya 1970s tunaelewa sana hayo mambo, hasa kwa waliokuwa pale idarani.

Ipo siku mafile ya siri yatawekwa hadharani kudhihirisha umafia wa wana CCM na serikali zake.

"CCM hatuachiani maji mezani", Jakaya M. Kikwete.
 
Makonda ndo aliyoyakataa Haya Ya kusema mama anaupinga mwingi na uchawa uliopitiliza Niko naye hapa vipi Nimpe namba yako
 
Amuulize Magufuli,hapo cha muhimu awe makini tu.Akipuuzia watamuondoa CCM wauaji wakubwa. Tena huyo Nchimbi ndo balaa kabisa. Huyo Nchimbi ndo mmoja wa wanaomiliki account ya Kigogo kule twitter.
 
Mwakyembe aliwekwa sumu na nani hadi akanyonyoka nywele zote?
Nani alitaka kumuua Magu alipokuwa waziri serikali ya Mkapa.
Je yule katibu mkuu aliyesema chama chenu kimepotea njia?
Amina je?
 
Amuulize Magufuli,hapo cha muhimu awe makini tu.Akipuuzia watamuondoa CCM wauaji wakubwa. Tena huyo Nchimbi ndo balaa kabisa. Huyo Nchimbi ndo mmoja wa wanaomiliki account ya Kigogo kule twitter.
 
Mwakyembe aliwekwa sumu na nani hadi akanyonyoka nywele zote?
Nani alitaka kumuua Magu alipokuwa waziri serikali ya Mkapa.
Je yule katibu mkuu aliyesema chama chenu kimepotea njia?
 
Mwakyembe aliwekwa sumu na nani hadi akanyonyoka nywele zote?
Nani alitaka kumuua Magu alipokuwa waziri serikali ya Mkapa.
Je yule katibu mkuu aliyesema chama chenu kimepotea njia?
Mwakyembe hakuwekewa Sumu.Yule ni Ukimwi ulimsumbua.
 
mwanasiasa makini hapuuzi rumerz anazifanyia kazi anakua makini nazo 🐒

ingekua wengine apo heheeee🐒
 
WAGANGA WA EX-MZEE BABA WOTE WAMEHAMIA KWA BW. MAKONDA, AMSHA BABA SONGA MBERE......!
Pamoja na yote, kuna upande asiuguse kwani huwa hau bipiwi, uki bipi wao wanamaliza!...
 
Jamaa anaamini sana waganga na kwa sababu wamemuhakikishia hakuna mtu anayeweza kumloga au kumdhuru kwa namna yoyote ile basi na yeye anaamini na kujigamba hivyo lakini akae akijua dunia hii haina mwenyewe wewe ukijua hili mwenzo anakijua kile, sasa yeye mwache aendelee kuwaamini hao waganga wake halafu siku ya siku ndiyo atajua.

Hakuna kitu kibaya katika dunia hii kama ujivuni na kujitia ujuaji.
 

Nimecheka kwa nguvu, ccm mdomoni wanahubiri 4R za rais, sasa hayo ya kuwekeana sumu yanatoka wapi tena? Bundi ametua kwenye nyumba ya wafitini lazima mpoteane. Siku zote umoja wa wahalifu haudumu. Hapa lazima matokeo ya utekaji wa muhalifu makonda lazima yavujishwe na wanaccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…