econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Makonda anaiongelea CCM, wewe unadakia CHADEMA. Be seriousCHADEMA wanakuja humu sio mda mrefu .
Ngoja waje waseme kuhusu mungu wao muuaji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makonda anaiongelea CCM, wewe unadakia CHADEMA. Be seriousCHADEMA wanakuja humu sio mda mrefu .
Ngoja waje waseme kuhusu mungu wao muuaji.
Uthibitisho gani?. Si ni juzi alisema ingekiwa kipindi Cha nyuma CHADEMA wangemtambua.Naona Makonda anapingwa sana hata na baadhi ya wana CCM, hususan viongozi.Katika Kipindi kimoja cha Medani za Siasa nilimsikia Lema akimnanga waziwazi Makonda kuwa alishiriki mauaji na kuteka watu. Pia Gerald Hando alitamka hivi karibuni kuwa Makonda alikuwa mtekaji.
Nadhani tabia ya kuruhusu shutuma nzito za aina hiyo zina baraka ya Waziri wa Habari.
Shutuma za aina hiyo huwa zinatakiwa kuthibitishwa.Huo ni uonezi.
Kama kawaida yako. Mnafiki wa taifaHizi Siasa za Kurogana na Kuwekeana Sumu niliamini ziko Vyama vya Upinzani sasa Kauli ya Mwenezi wa CCM imenishtua Sana
Imenikumbusha enzi zile Wabunge wa Chadema walikuwa na dada zao Viti Maalum kwa ajili ya kuwapikia chakula kuepuka kulishwa Sumu Mitaani
Hata Dr Slaa alilalamika Chumba chake kurushiwa ungaunga kama ule wa Joka la makengeza bungeni
Yaani tunarudi kule kule dadeki 🐼
Ni matumaini yangu kwamba unatania tuHizi Siasa za Kurogana na Kuwekeana Sumu niliamini ziko Vyama vya Upinzani sasa Kauli ya Mwenezi wa CCM imenishtua Sana
Nae anaweza mfuata shujaa mapema,kumbuka huyu hana executive power kama yuleSasa Shujaa Magufuli apumzike kwa Amani
Ahsante Sana kwa Zawadi uliyotuachia ya Huyu Bwana mdogo Paul Makonda 😄
Navalonge swela 😂
Na anawakimbiza kweli CCM. Mpaka juzi wamerudisha kiwannja Cha bibi wa watu.Safi Makonda!wakimbize mchakamchaka mpk wakae sawa
DuhAmuulize Magufuli, hapo cha muhimu awe makini tu. Akipuuzia watamuondoa CCM wauaji wakubwa. Tena huyo Nchimbi ndo balaa kabisa. Huyo Nchimbi ndo mmoja wa wanaomiliki account ya Kigogo kule twitter.
Sasa mkuu, kipindi yupo benchi alikuwa na madhara gani kwao. Think hata JPM kwanini alikuja kupata maadui baada ya kuingia uwanjani wakati yupo benchi kama waziri hawakumuona?Makonda ni kijana mdogo? Kwahiyo nina muda bado kumbe.
Hata hivyo naamini yeyote ambaye alitaka kumuua Makonda angefanya hivyo kipindi yupo benchi.
Alikua vulnerable na hata jamii ilimsahau. Kama mtu hakufanya hivyo pale sioni ni kivipi afanye hivyo sasa hivi.
Hivyo kwa maoni yangu kauli ya Makonda ni ya kujihami na siyo kwamba kuna tukio hilo.
🤣DuhMwakyembe hakuwekewa Sumu.Yule ni Ukimwi ulimsumbua.
Katibu wa NEC-CCM wa Itikadi na Uenezi, Paul Makonda akiwa katika ziara yake Tunduma Mkoani Songwe amesema
"Si nimepewa usemaji? nitasema kweli bila kumung'unya maneno na kwa taarifa yenu sifi na Mungu hana mpango wa kuniondoa kwanza. Mtege sumu kwenye vyumba mnapoteza muda tu, mtafute waganga mnapoteza muda tu. Nataka kila kiongozi awajibike kwenye nafasi yake.
Waliopo serikalini wote wana magari, nyumba na wanaheshimika kwa kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan Kwanini hatumsaidii kazi? Tabia ya kusubiri Rais ana ziara ndiyo mnajitokeza na mkifika pale ooh Mama unaupiga mwingi hapa ni wewe tu!... Ngojeni dawa yenu inachemka."
Akibipu ametumbukia kwenye domo la mamba😜WAGANGA WA EX-MZEE BABA WOTE WAMEHAMIA KWA BW. MAKONDA, AMSHA BABA SONGA MBERE......!
Pamoja na yote, kuna upande asiuguse kwani huwa hau bipiwi, uki bipi wao wanamaliza!...
Nani anataka kutoboa mtumbwi😁Nimecheka kwa nguvu, ccm mdomoni wanahubiri 4R za rais, sasa hayo ya kuwekeana sumu yanatoka wapi tena? Bundi ametua kwenye nyumba ya wafitini lazima mpoteane. Siku zote umoja wa wahalifu haudumu. Hapa lazima matokeo ya utekaji wa muhalifu makonda lazima yavujishwe na wanaccm.
Kwanini mnataka kumuua makonda?Ala, nilifikiri mtasema Mungu wenu ndio kiboko, kumbe hayo ya propaganda. Haya.
Hapa duniani hakunaga Ulinzi/ Upendo kama wa mama 😄Nae anaweza mfuata shujaa mapema,kumbuka huyu hana executive power kama yule