Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Makonda: Marufuku kudai nyongeza ya mshahara! Nashangaa watu wanapita na mabango, mie ningewachapa

Hivi watu na akili zenu kama GT mnajadili HOJA MFU ZA MTU ALIYE GHUSHI CHETI DIVISHENI ZERO!!!!
You must be crazy! Hivi huyu Bashite Kihiyo anajua maana ya kudai mshahara kwa mtu aliyesota darasani kwa kazi anayoifanya????

Huyu kichaa ningemwelewa kama angelileta hoja ya kujadili Why Double allocation?Ni kwasababu MISHAHARA NI MIDOGO ndo maana watu wanagonganisha viwanja!!!!!

Kufikiria kuchapa viboko watu ni kuonyesha jinsi huyu Bashite alivo mtupu kichwani!!Pambaf!
 
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.

Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?

Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.

Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.

Makonda oyeeeeeeeeeee
Unauhakika kuwa kazi hawafanyi au wewe ndio hauna kazi ya kufanya?
 
hahahahhahahahahahahah hayayayayayaa aiseee ndio maagizo hayo ? 🙁
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nani kakwamb

i


Tuliishapitisha azimio kwamba habari za mtu huyu zisiandikwe kwenye vyombo vya habari. Sasa vipi tena?

Ha ha haaaaaaaa

Ulipitisha na nani!?

Jumatatu Star TV saa moja na nusu asubuhi wote mnasubiria kumsikiliza....

Makonda oyeeeeee
 
Unauhakika kuwa kazi hawafanyi au wewe ndio hauna kazi ya kufanya?

Wasubiri muda wa nyongeza ukifika na wanajua mabadiliko yaliwekwa kwa sababu muhimu pia, sio kulazimisha huku serikali ipo bizi kupanga na inafanya mema. Ila siku hizi wanajitahidi kasoro wale wabishi kiaina fulani, watanyooshwa tu.
 
Si mlisema kuwa hamtaandika habari zake Paul Makonda?? Sasa imekuwaje hadi mnaanza kumtafuta kijana wa watu? Au zilikuwa hasira tu. Makonda noma, mtake msitake, mtamuandika tu!
Hivi wewe unasema ati "si mlisema.."! Akina nani walisema?Je umejuaje kama ni wao wameandika hapa na si bashite mwenyewe?Je unadhani bashite hana wafuasi?Akina bashite nchi hii ni wengi hata kwenye hii thread wamo!
 
Anadhani kuwa kazi za watu wamepewa kama zawadi? Yeye aliyepewa ukuu wa mkoa kama zawadi afunge bakuli lake.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Nimeangalia hiyo video,hao jamaa wamekaa wanamskiliza kabisa huyo kijana?Na hao jamaa elim zao zikoje?
 
Mna uhakika aliye andika humu ni mwandishi wa habari?
 
Bora awaambie ukweli, wanadai mishahara huku kazi hawafanyi.

Ni mwendo wa hapa kazi tu, kuna lipi la kushangaza kwa alichoongea!?

Na akitoa mfano, nyie lazima muukuze.

Mtajiju na muache kulalamika juu ya kuzungushwa kwenye ofisi za mji huo, huku akifata njia kuwanyoosha mnamsema.

Makonda oyeeeeeeeeeee
Anaefuatilia maandiko yako humu ataumia sana ila ww ni wa kupuuzwa au ndio DAB umekuja Kwa hii Id
 
Back
Top Bottom