Makonda, Mpina ni chambo tu, sukuma gang inakuja taratibu

Luhaga Mpina ana kichaa, JPM alithibitisha, 2025 mwisho wake, achakatwe!
 
Bado mnaendelea kufurahia kifo. Kama SG hawajamaliza msiba, basi Msoga Gang(MG) bado nao hawajamaliza furaha yao. Dah! Kazi kwa mama Tanzania.
Najua watu wa Kaskazini wapo upande wa MG. Sasa kanda ya Nyanda za Juu Kusini nasi tujiunge na SG.
 
Ila muelewe kwamba yoote mnayoyafanya kwa sasa.

Watanzania wanawaona na kuwapima.

Endeleeni na furaha yenu inayotokana na mliyempoteza.

It's a matter of time
View attachment 2184795View attachment 2184796
TAKBIRI TAKBIRI INCHI NI MWIKO NARUDIA NI MWIKO KUONGOZWA NA WASUKUMA,WANYAKYUSA NA WACHAGGA NI MWIKO MWIKO MWIKO /CHAMA HAKIWEZI KUFANYA KOSA TENA TUTAONGOZWA NA MAKABILA MADOGO MADOGO YENYE UTU NA UANADAMU.
#SUKUMIA MBALI TAKA CHAFU.
 
..You need to stop the nonsense kwamba kanda ya ziwa kuna kura nyingj.

..Ccm hawategemei sanduku la kura ktk uchaguzi zetu.

..Zaidi, kanda ya ziwa iliwahi kuwa na chama chao UDP chini ya Mwenyekiti John Cheyo.

..Jiulize kwanini UDP na Cheyo hawakufua dafu mbele ya Ccm kabla ya kuja hapa na kujigamba kwamba kanda hiyo ina kura za turufu.

..Vilevile mlango wa kuanzisha chama kipya cha siasa kinachoendana na falsafa za awamu ya 5 upo wazi.
 
Asilimia kubwa ya sukuma gang ni wakurupukaji kama mwendazake.
 
Maono ya kuifanya Chato kuwa jiji na baadaye kuwa nchi.
 
Ukweli unauma sana,pole sana na nimekubali maneno yako asilimia mia,ila siku nyingine mkipata mtu wa kwenu kama anakosea kuweni wazi kupambana naye halafu acheni vijembe kwa matabaka mengine ya watu ili tusiendelee na haya mambo machafu ya kuchambana.
 
Acha uzwazwa wewe hilo kundi la SG ni kundi baya sana kwa usalama wa nchi yetu.
 
Kwanini serikal haipendi kuambiwa ukweli kipindi cha jiwe alikuwa anasema ni wapiga dili na mabeberu ndo wanalalamika. Kipindi hiki cha lady gaga wanasema sg ndo wanalalamika.
 
Bado mnaendelea kufurahia kifo. Kama SG hawajamaliza msiba, basi Msoga Gang(MG) bado nao hawajamaliza furaha yao. Dah! Kazi kwa mama Tanzania.
Najua watu wa Kaskazini wapo upande wa MG. Sasa kanda ya Nyanda za Juu Kusini nasi tujiunge na SG.
Acha upumbavu wewe jifunze kwa Malawi na Zambia na siyo SG iliyojifunza ushenzi Burundi,Rwanda,Uganda na DRC.
 
Badilisha jina ndiyo tukuuelewe, vinginevyo sukuma Gang ni wasukuma na muendelee na propaganda zenu chafu za kibaguzi.Mtavuna mnachokitafuta
Sukuma Gang ni wafuasi wa lile dikteta uchwara la kihutu. Yule alijipa kabila la Usukuma ili apate uungwaji mkono kwa vile wasukuma ndiyo kabila lenye idadi kubwa ya watu. Yule alikuwa Mhutu ndiyo maana alikuwa na roho mbaya tofauti na sisi Wasukuma tulivyo.
 
Tangu lini idadi ya kura zikaamua nani awe Raisi nchii hii? Ikitakiwa fulani awe Rais atakuwa tu mtake msitake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…