Makonda na Musiba, Magufuli hayupo. Je, mmejiandaa kisaikolojia?

Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kuwa kinga yake
 
R.I.P Mr president, you were / will always be a greatest Son of this land, after few years with your absence people will understand that you were sensible and visionary

The reform you made within few years in power are unquestionably great achievements, thank you for your wonderful Service
 
Wajinga wajinga makonda pumbavu kabisa musiba tahaira kesi zao mahakamani zianze upya
 
Makonda na Mama Samia dam dam tena anaenda kuchukua uteuzi mapema tu, time will tell
 
Hutaamini kitakachotokea.

Matarajio ni makubwa sana kwa huyu mama na yeye anajua hilo.
 
Makonda na Mama samia dam dama tena anaenda kuchukua uteuzi mapema tu, time will tell
Unaona Mama Samia ni mjinga sana??? Unafahamu miongoni mwa watu walioacha Rais Magufuli kuchukiwa ni pamoja na Bashite sasa Samia atakubali vipi kubeba gunia la misumari kichwani?

Msimdanganye Bashite, na kama huyo mama atasikiliza ujinga na akamrudisha Bashite basi ajiandae kuaibika
 
Muda utaongea
 
Wacha maisha yaendelee jasiri ameumaliza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…