Makonda ni kada siyo mtumishi wa umma hastahili kusafishiwa njia na trafiki kwa kufunga barabara

Makonda ni kada siyo mtumishi wa umma hastahili kusafishiwa njia na trafiki kwa kufunga barabara

CCM ishagundua na kujihakikishia kwamba Watanzania ni mazuzu sasa inajiamulia kufanya watakavyo.
 
Habari wadau

Inchi yetu haizingatii sheria na maumivu kwa wengine wanaotumia barabara!

Makonda ni kada wa chama kama ilivyo vyama vingine vya siasa!
Siyo mtumishi wa Umma!

Nashangaa sana kuonekana akishurutisha watumishi wa umma kwa kuwahoji pamoja na trafiki kumsafishia njia!

Hata kama chama alichomo kimeshika dola lakini kisheria anatakiwa apeleke taarifa kwenye chama chao!

Makonda ni kundi moja na mnyika,Kigaila n.k hawapaswi kusafishiwa njia, hiyo bajeti serikali inaitoa wapi?
Unateseka ukiwa wapi mamaeee
 
Habari wadau

Inchi yetu haizingatii sheria na maumivu kwa wengine wanaotumia barabara!

Makonda ni kada wa chama kama ilivyo vyama vingine vya siasa!
Siyo mtumishi wa Umma!

Nashangaa sana kuonekana akishurutisha watumishi wa umma kwa kuwahoji pamoja na trafiki kumsafishia njia!

Hata kama chama alichomo kimeshika dola lakini kisheria anatakiwa apeleke taarifa kwenye chama chao!

Makonda ni kundi moja na mnyika,Kigaila n.k hawapaswi kusafishiwa njia, hiyo bajeti serikali inaitoa wapi?
Hiyo ni bajeti ya ccm kwenye ruzuku zao
 
Japo sio mtumishi ila ni msimamizi wa watumishi. Ndio maana ya chama kushika hatamu za uongozi.
 
Habari wadau

Inchi yetu haizingatii sheria na maumivu kwa wengine wanaotumia barabara!

Makonda ni kada wa chama kama ilivyo vyama vingine vya siasa!
Siyo mtumishi wa Umma!

Nashangaa sana kuonekana akishurutisha watumishi wa umma kwa kuwahoji pamoja na trafiki kumsafishia njia!

Hata kama chama alichomo kimeshika dola lakini kisheria anatakiwa apeleke taarifa kwenye chama chao!

Makonda ni kundi moja na mnyika,Kigaila n.k hawapaswi kusafishiwa njia, hiyo bajeti serikali inaitoa wapi?
Wenzako wameandika wakaona ni ujinga tu maana ungekuwa mkurugenzi wa mji,jiji ,Rpc,tanesco, mamlaka ya maji ungekwenda kwa kukimbia ,sasa wewe sio mmoja wao .kama unadhani wao wajinga nenda kwa RPC waulize kwanini wanakwenda kwenye mikutano ya huyu ndugu
 
Wenzako wameandika wakaona ni ujinga tu maana ungekuwa mkurugenzi wa mji,jiji ,Rpc,tanesco, mamlaka ya maji ungekwenda kwa kukimbia ,sasa wewe sio mmoja wao .kama unadhani wao wajinga nenda kwa RPC waulize kwanini wanakwenda kwenye mikutano ya huyu ndugu
Kwanini
 
Pamoja na kusafishiana njia wanagingana wao kwa wao
 
Pamoja na kutufungia njia sisi raia wanagongana wao kwa wao
 
Back
Top Bottom