Kama unatukana ama unatuma watu watukane utatajwa tuHuyu jamaa yuko sawa kweli kichwani ?
Wale wauza unga aliowataja wamefungwa gereza gani?
Maskini Ben Saanane hakuwa na bahati ya kutajwa tu, kwa sababu alijulikana waziwazi.Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mapokezi yake Jijini Dodoma amesema anawafahamu wanaowalipa vijana ili wawatukane viongozi mitandaoni wakiwemo viongozi wa CCM, Mwenyekiti, Rais Samia Suluhu, Makamu Mwenyekiti Bara, Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti Zbar, Dkt Hussein Mwinyi na Katibu Mkuu Daniel Chongolo
View attachment 2800205
Mkuu, na wewe unaamini hilo? Sifikirii kabisa kuwa na wewe unaweza kuwa ni miongoni mwa wale wanaoshikiliwa akili zao!Safi sana
hana ajualo huyoKama unatukana ama unatuma watu watukane utatajwa tu
Kweli tabia ni kama ngozi ya mwiliKatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mapokezi yake Jijini Dodoma amesema anawafahamu wanaowalipa vijana ili wawatukane viongozi mitandaoni wakiwemo viongozi wa CCM, Mwenyekiti, Rais Samia Suluhu, Makamu Mwenyekiti Bara, Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti Zbar, Dkt Hussein Mwinyi na Katibu Mkuu Daniel Chongolo
View attachment 2800205
Huyu jamaa yuko sawa kweli kichwani ?
Wale wauza unga aliowataja wamefungwa gereza gani?
Shuzi limepataa mjambajiKatibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi CCM, Paul Makonda akizungumza katika mkutano wa hadhara katika mapokezi yake Jijini Dodoma amesema anawafahamu wanaowalipa vijana ili wawatukane viongozi mitandaoni wakiwemo viongozi wa CCM, Mwenyekiti, Rais Samia Suluhu, Makamu Mwenyekiti Bara, Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti Zbar, Dkt Hussein Mwinyi na Katibu Mkuu Daniel Chongolo
View attachment 2800205