Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

Angalia ndg asije kukufanyia umafia kama kwenye kile kituo cha Matangazo mwaka ulee...
Nina Nguvu Kubwa na Kali za Mungu na Mizimu ya Kwetu Mkoani Mara na kule Mkoani Mtwara bila kusahau Maujuzi ya Kimedani kutoka kwa Boss wangu Mwembamba Mwerevu hapo Jirani tu wanakotoka Werevu wanaoitaka Afrika Mashariki hii yote iwe ya Ng'ombe, Maziwa na Asali tupu.
 
Nina Nguvu Kubwa na Kali za Mungu na Mizimu ya Kwetu Mkoani Mara na kule Mkoani Mtwara bila kusahau Maujuzi ya Kimedani kutoka kwa Boss wangu Mwembamba Mwerevu hapo Jirani tu wanakotoka Werevu wanaoitaka Afrika Mashariki hii yote iwe ya Ng'ombe, Maziwa na Asali tupu.
Mkuu mimi nipo hapa Suguti na jana nilikuwa Qabakali(Chabakali) nikitokea Butuguri, wanasema mizimu ya kwenu ilishakufa yote. Kwa hiyo wewe ni mweupe mkuu
 
Mkuu mimi nipo hapa Suguti na jana nilikuwa Qabakali(Chabakali) nikitokea Butuguri, wanasema mizimu ya kwenu ilishakufa yote. Kwa hiyo wewe ni mweupe mkuu
Kama uko hapo Butuguri Kijijini Kwetu huko Uzanakini nisalimie sana Ndugu zangu akina Mang'ombe, Nyamagara, Kiriba na Obyai. Pia upite hapo kwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI-AFYA Dr. Charles Wilson Mahera waambie wote kuwa Ndugu yao Tukuka GENTAMYCINE nawasalimu mno na waiambie Mizimu yetu ya Muhunda izidi Kunilinda na Kunibariki.
 
Back
Top Bottom