GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Nina Nguvu Kubwa na Kali za Mungu na Mizimu ya Kwetu Mkoani Mara na kule Mkoani Mtwara bila kusahau Maujuzi ya Kimedani kutoka kwa Boss wangu Mwembamba Mwerevu hapo Jirani tu wanakotoka Werevu wanaoitaka Afrika Mashariki hii yote iwe ya Ng'ombe, Maziwa na Asali tupu.Angalia ndg asije kukufanyia umafia kama kwenye kile kituo cha Matangazo mwaka ulee...