Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kusini impactsSi alisema hawamuwezi? Imekuwaje tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusini impactsSi alisema hawamuwezi? Imekuwaje tena?
Huyu "mpakwa mafuta" (nukuu toka thread ya P. Mayalla 👉🏼 Hapa🙂, Law #1 inamhusu| The Hidden Path to Power: Why Outshining the Master Isn't What You Think
View attachment 2920254
Nilipata nusu ya wazo hili hasa baada ya ile ajali kusini....Nilishasema kuwa watafichwa Watu wote juu ya yanayoendelea ila siyo Malaika mpendwa mimi wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE, ila nikisema hivi huwa mnaniona kama vile hamnazo (nimedata) Kunakotukuka.
Kama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ukiona unapewa Cheo cha Lawama huku unasakiziwa wewe ndiyo uwe unawatisha, unawadhalilisha na unawatukana wenye kuijua vyema Tanzania na Mafundi wa Matukio ya Hatari duniani jua Uhai wako uko Mashakani sana na kwamba kilichofanyika ni kukutafutia tu haraka Tiketi ya Wewe Kufa ili uwaondolee Kero zako za Kiburi Jeuri na Dharau.
Mungu atamsaidia mtetezi wawatu liozurumiwaKwa kiingereza yasemwa “he entered uncharted waters”.
Kwenye siasa khasa hizi zenye mifumo ya Kleptokrasia mwanasiasa au anaedhania kuwa yeye ni mwanasiasa ni lazima awe na washauri werevu maana wao watamsaidia kuchunga kauli.
Hawamuwezi,wao ndo watatangulia kufa.Na hata wanaomtaka nao sasa wako Site kukamilisha Strategies za mwisho mwisho za Kumalizia Hasira zao za Kipindi alichokuwa RC wa Dar es Salaam na Mtoto Mpendwa wa Kwaheri Mr. 21 March, 2021.
Mtesi mwingine wa Lissu ni yupi ukiachilia Makonda?Hakuna kuachiana maji vumbi hatari linawekwa katika mic
Lissu lazima atashuhudia kila mtesi wake akipukutika
Na hajafa, angekua lofa ile siku angeondoka,, sema kitu kika backfire ikatokea misiba fulani imeongozana,,,,wa lile eneo wanachemshiwa dawa yao,,,,,maana Magu ukanda ule ule na Makonda ukanda ule ule, ukiwa mwanajeshi kifo sio cha kuogopa anajipangaAlipochemka ndugu Bashite ni kusema yeye kufa bado sana i.e Hawamuwezi. Sayansi ya kuua watu mashuhuri huwa inabebwa sana na kauli kama hizo. Anaweza kujifunza kwa njia ngumu sana
Tunamjua.......Hata Hayati Magufuli nae tuliompenda tulimuombea hivi hivi ila Mic ya Mkutanoni Mkoani Morogoro ilimpenda zaidi. SITAKI KUULIZWA SWALI LOLOTE LILE HAPA TAFADHALI sawa?
Msiba mwingine hukoWakiongozwa nawe Rais wao Tukuka.
Tunaona mbali tuliandika Makonda Cheo cha uenezi kapewa kama Dekio na kazi ya Dekio inajulukanaAmeshachelewa sana kwani Kategwa Kizembe kwa Cheo Kitamu na kupewa Jeuri ili Aharibu vizuri na iwe rahisi Kukamilisha jukumu kama la tarehe 21 Machi, 2021.
mambo yasoka umestaaf kwanza mkuu
Tabiri tena kiongoziHilo wasema Wewe, ila ninachojua tu ni kwamba kwa Vita vya Kimataifa vilivyoko CCM na Tamaa ya Vyeo kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu na hasa hasa Vita vya Urais wa 2030 kuna Vifo vya Waandamizi Wanne nilivitabiri na naendelea Kuvitabiri.
Sijui unazijua kazi ya msemaji wa chama?Nilishasema kuwa watafichwa Watu wote juu ya yanayoendelea ila siyo Malaika mpendwa mimi wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE, ila nikisema hivi huwa mnaniona kama vile hamnazo (nimedata) Kunakotukuka.
Kama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ukiona unapewa Cheo cha Lawama huku unasakiziwa wewe ndiyo uwe unawatisha, unawadhalilisha na unawatukana wenye kuijua vyema Tanzania na Mafundi wa Matukio ya Hatari duniani jua Uhai wako uko Mashakani sana na kwamba kilichofanyika ni kukutafutia tu haraka Tiketi ya Wewe Kufa ili uwaondolee Kero zako za Kiburi Jeuri na Dharau.
Kuwa utampata tena Mume / Basha mpya lini?Tabiri tena kiongozi
Moja wapo ni Kutuelezea kuwa Wewe ni mwana CCM Juha hivyo tuwe makini nawe.Sijui unazijua kazi ya msemaji wa chama?