Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

Nilishasema kuwa watafichwa Watu wote juu ya yanayoendelea ila siyo Malaika mpendwa mimi wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE, ila nikisema hivi huwa mnaniona kama vile hamnazo (nimedata) Kunakotukuka.

Kama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Ukiona unapewa Cheo cha Lawama huku unasakiziwa wewe ndiyo uwe unawatisha, unawadhalilisha na unawatukana wenye kuijua vyema Tanzania na Mafundi wa Matukio ya Hatari duniani jua Uhai wako uko Mashakani sana na kwamba kilichofanyika ni kukutafutia tu haraka Tiketi ya Wewe Kufa ili uwaondolee Kero zako za Kiburi Jeuri na Dharau.
Nilipata nusu ya wazo hili hasa baada ya ile ajali kusini....
 
Alipochemka ndugu Bashite ni kusema yeye kufa bado sana i.e Hawamuwezi. Sayansi ya kuua watu mashuhuri huwa inabebwa sana na kauli kama hizo. Anaweza kujifunza kwa njia ngumu sana
Na hajafa, angekua lofa ile siku angeondoka,, sema kitu kika backfire ikatokea misiba fulani imeongozana,,,,wa lile eneo wanachemshiwa dawa yao,,,,,maana Magu ukanda ule ule na Makonda ukanda ule ule, ukiwa mwanajeshi kifo sio cha kuogopa anajipanga
 
Hilo wasema Wewe, ila ninachojua tu ni kwamba kwa Vita vya Kimataifa vilivyoko CCM na Tamaa ya Vyeo kwa mwaka 2025 baada ya Uchaguzi Mkuu na hasa hasa Vita vya Urais wa 2030 kuna Vifo vya Waandamizi Wanne nilivitabiri na naendelea Kuvitabiri.
Tabiri tena kiongozi
 
Nilishasema kuwa watafichwa Watu wote juu ya yanayoendelea ila siyo Malaika mpendwa mimi wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE, ila nikisema hivi huwa mnaniona kama vile hamnazo (nimedata) Kunakotukuka.

Kama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Ukiona unapewa Cheo cha Lawama huku unasakiziwa wewe ndiyo uwe unawatisha, unawadhalilisha na unawatukana wenye kuijua vyema Tanzania na Mafundi wa Matukio ya Hatari duniani jua Uhai wako uko Mashakani sana na kwamba kilichofanyika ni kukutafutia tu haraka Tiketi ya Wewe Kufa ili uwaondolee Kero zako za Kiburi Jeuri na Dharau.
Sijui unazijua kazi ya msemaji wa chama?
 
Kwa sasa hata ibilisi keshapata hati ya mashtaka juu yake....wazee tunaona mbali......
 
Back
Top Bottom