Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

Nilishasema kuwa watafichwa Watu wote juu ya yanayoendelea ila siyo Malaika mpendwa mimi wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE, ila nikisema hivi huwa mnaniona kama vile hamnazo (nimedata) Kunakotukuka.

Kama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Ukiona unapewa Cheo cha Lawama huku unasakiziwa wewe ndiyo uwe unawatisha, unawadhalilisha na unawatukana wenye kuijua vyema Tanzania na Mafundi wa Matukio ya Hatari duniani jua Uhai wako uko Mashakani sana na kwamba kilichofanyika ni kukutafutia tu haraka Tiketi ya Wewe Kufa ili uwaondolee Kero zako za Kiburi Jeuri na Dharau.
🤔💭🔭
 
Mfalme wa Maono GENTAMYCINE nikiwaonya na kuwashauri hapa Wananidharau sasa ngoja yaanze Kuwakuta ndipo watajua GENTAMYCINE ni Zawadi ya Kipekee na ya Thamani kutoka Kwake Mwenyezi Mungu ambayo Wao wanaidharau na wananidharau.
🤣🤣🤣
 
Nina Nguvu Kubwa na Kali za Mungu na Mizimu ya Kwetu Mkoani Mara na kule Mkoani Mtwara bila kusahau Maujuzi ya Kimedani kutoka kwa Boss wangu Mwembamba Mwerevu hapo Jirani tu wanakotoka Werevu wanaoitaka Afrika Mashariki hii yote iwe ya Ng'ombe, Maziwa na Asali tupu.
🤣🤣🤣🔊
 
Wati waoga siku zote huwaga hawana mafanikio yoyote yale ila watu wagumu wenye kudhubutu ngangari ngunguri webye kujitoa mhanga wakifaulu huwa matajiri au wenye mafanikio makubwa waulize kina nyerere walioyapitia
Kuitwa baba wa taifa sio mchezo
 
Ni akili ndogo sana kuibuka na stori za vijiwe vya kahawa kuleta huku. Aibu yako
 
Back
Top Bottom