PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Dah! Umenikumbusha yule mzee aliejenga OSWALD Mang'ombe na zile CHIEF wanzagi. Nilimkubali sana mtalam mzuri wa sheria.Kama uko hapo Butuguri Kijijini Kwetu huko Uzanakini nisalimie sana Ndugu zangu akina Mang'ombe, Nyamagara, Kiriba na Obyai. Pia upite hapo kwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI-AFYA Dr. Charles Wilson Mahera waambie wote kuwa Ndugu yao Tukuka GENTAMYCINE nawasalimu mno na waiambie Mizimu yetu ya Muhunda izidi Kunilinda na Kunibariki.
Sawa mkuu but uwe makini kuhusu ugari wa watu.