GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #21
Nina Nguvu Kubwa na Kali za Mungu na Mizimu ya Kwetu Mkoani Mara na kule Mkoani Mtwara bila kusahau Maujuzi ya Kimedani kutoka kwa Boss wangu Mwembamba Mwerevu hapo Jirani tu wanakotoka Werevu wanaoitaka Afrika Mashariki hii yote iwe ya Ng'ombe, Maziwa na Asali tupu.Angalia ndg asije kukufanyia umafia kama kwenye kile kituo cha Matangazo mwaka ulee...
Mpumbavu Mmoja anaweza kuwaweza Werevu Saba?Si alisema hawamuwezi? Imekuwaje tena?
Nani?Mungu ampe Afya njema na miaka mingi ya kuishi duniani.
Mpumbavu DAB / PCM.Nani?
Mungu amlinde, amkinge na kila BayaMpumbavu DAB / PCM.
Unauliza Condom Ukeni?Kwahiyo mambo hayaendi vuyedi kwake au...🤔
Bora kuomba Mungu sana lakini shirk wapo wa zaidi piaSi alisema hawamuwezi? Imekuwaje tena?
Mliiba, Mlidhulumu na Mlidedisha pamoja?Mungu amlinde, amkinge na kila Baya
IQ ni nyepesi mno Kujua Juha ( Nut ) kama Wewe unachofikiri na unachotaka Kuuliza hivyo kukuonyesha kuwa nina Ubongo Uliotukuka nimeamua Kukuwahi.Aliyekwambia nataka kukuuliza swali nani!?
Mkuu mimi nipo hapa Suguti na jana nilikuwa Qabakali(Chabakali) nikitokea Butuguri, wanasema mizimu ya kwenu ilishakufa yote. Kwa hiyo wewe ni mweupe mkuuNina Nguvu Kubwa na Kali za Mungu na Mizimu ya Kwetu Mkoani Mara na kule Mkoani Mtwara bila kusahau Maujuzi ya Kimedani kutoka kwa Boss wangu Mwembamba Mwerevu hapo Jirani tu wanakotoka Werevu wanaoitaka Afrika Mashariki hii yote iwe ya Ng'ombe, Maziwa na Asali tupu.
Kama uko hapo Butuguri Kijijini Kwetu huko Uzanakini nisalimie sana Ndugu zangu akina Mang'ombe, Nyamagara, Kiriba na Obyai. Pia upite hapo kwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI-AFYA Dr. Charles Wilson Mahera waambie wote kuwa Ndugu yao Tukuka GENTAMYCINE nawasalimu mno na waiambie Mizimu yetu ya Muhunda izidi Kunilinda na Kunibariki.Mkuu mimi nipo hapa Suguti na jana nilikuwa Qabakali(Chabakali) nikitokea Butuguri, wanasema mizimu ya kwenu ilishakufa yote. Kwa hiyo wewe ni mweupe mkuu
Na hata wanaomtaka nao sasa wako Site kukamilisha Strategies za mwisho mwisho za Kumalizia Hasira zao za Kipindi alichokuwa RC wa Dar es Salaam na Mtoto Mpendwa wa Kwaheri Mr. 21 March, 2021.Jamani bado gari zake ziko garage zikitengenezwa atarudi uwanjani.
Mfalme wa Maono GENTAMYCINE nikiwaonya na kuwashauri hapa Wananidharau sasa ngoja yaanze Kuwakuta ndipo watajua GENTAMYCINE ni Zawadi ya Kipekee na ya Thamani kutoka Kwake Mwenyezi Mungu ambayo Wao wanaidharau na wananidharau.
Akiwa Hai au kwa Cheo alichonacho?Makonda hafiki 2025