PD_Magumba
JF-Expert Member
- Apr 2, 2021
- 722
- 2,225
Dah! Umenikumbusha yule mzee aliejenga OSWALD Mang'ombe na zile CHIEF wanzagi. Nilimkubali sana mtalam mzuri wa sheria.Kama uko hapo Butuguri Kijijini Kwetu huko Uzanakini nisalimie sana Ndugu zangu akina Mang'ombe, Nyamagara, Kiriba na Obyai. Pia upite hapo kwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI-AFYA Dr. Charles Wilson Mahera waambie wote kuwa Ndugu yao Tukuka GENTAMYCINE nawasalimu mno na waiambie Mizimu yetu ya Muhunda izidi Kunilinda na Kunibariki.
Wa 17 March, 2021 tunamjua. Huyu wa 21 March, 2021 ni yupi tena?Na hata wanaomtaka nao sasa wako Site kukamilisha Strategies za mwisho mwisho za Kumalizia Hasira zao za Kipindi alichokuwa RC wa Dar es Salaam na Mtoto Mpendwa wa Kwaheri Mr. 21 March, 2021.
Boss mwembamba angekuwa anaishi miaka mia nne lengo huwenda lingetimiaNina Nguvu Kubwa na Kali za Mungu na Mizimu ya Kwetu Mkoani Mara na kule Mkoani Mtwara bila kusahau Maujuzi ya Kimedani kutoka kwa Boss wangu Mwembamba Mwerevu hapo Jirani tu wanakotoka Werevu wanaoitaka Afrika Mashariki hii yote iwe ya Ng'ombe, Maziwa na Asali tupu.
Pamoja na utetezi hapa mtu hajadata tuu๐คNilishasema kuwa watafichwa Watu wote juu ya yanayoendelea ila siyo Malaika mpendwa mimi wa Mwenyezi Mungu GENTAMYCINE, ila nikisema hivi huwa mnaniona kama vile hamnazo (nimedata) Kunakotukuka.
Kama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Ukiona unapewa Cheo cha Lawama huku unasakiziwa wewe ndiyo uwe unawatisha, unawadhalilisha na unawatukana wenye kuijua vyema Tanzania na Mafundi wa Matukio ya Hatari duniani jua Uhai wako uko Mashakani sana na kwamba kilichofanyika ni kukutafutia tu haraka Tiketi ya Wewe Kufa ili uwaondolee Kero zako za Kiburi Jeuri na Dharau.
Kumwahi wapi๐คIQ ni nyepesi mno Kujua Juha ( Nut ) kama Wewe unachofikiri na unachotaka Kuuliza hivyo kukuonyesha kuwa nina Ubongo Uliotukuka nimeamua Kukuwahi.
Kwa hiyo kumbe kila mjanja ana wajanja kumzidi๐คMpumbavu Mmoja anaweza kuwaweza Werevu Saba?
Tutajua mbere, usikute tunaongea na Andrew Nyerere hapa maana nae sijui alipotelea wapi.Wa 17 March, 2021 tunamjua. Huyu wa 21 March, 2021 ni yupi tena?
Waulize waliulize walioingia kwenye anga zake,iwe kwa bahati mbaya,ama kwa mpangilio watakupa mrejesho ๐คSijawahi muelewa mwenezi hua anafanya(ga) nini tangu akiwa DC hadi RC
Kama uko hapo Butuguri Kijijini Kwetu huko Uzanakini nisalimie sana Ndugu zangu akina Mang'ombe, Nyamagara, Kiriba na Obyai. Pia upite hapo kwa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI-AFYA Dr. Charles Wilson Mahera waambie wote kuwa Ndugu yao Tukuka GENTAMYCINE nawasalimu mno na waiambie Mizimu yetu ya Muhunda izidi Kunilinda na Kunibariki.
Hata kama bwana akitwaa jina lake litahimidiwaMungu ampe Afya njema na miaka mingi ya kuishi duniani.
Binafsi nilipewa maiki kuhutubia wakaniwekea vumbi kumbe muwekaji hakuwa mzoef akaniwekea vumbi la Congo nikaishia kusimamisha mkuyenge na kuanza kumtongoza mgeni rasmi.Hakuna kuachiana maji vumbi hatari linawekwa katika mic
Lissu lazima atashuhudia kila mtesi wake akipukutika
Huyu "mpakwa mafuta" (nukuu toka thread ya P. Mayalla ๐๐ผ Hapa๐, Law #1 inamhusu| The Hidden Path to Power: Why Outshining the Master Isn't What You ThinkKama kuna Kosa kubwa na la Kiufundi ambalo CCM na hasa Rais Samia (Mwenyekiti CCM Taifa) alilifanya ni kuamua kumteua Paul Makonda ambaye ana 95% ya Maadui ndani ya Serikali, Mfumo, Mafia na Mafisadi wakubwa Tanzania ni kumteua kuwa Katibu Mwenezi na Itikadi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Hii ilimpata fid q mwanzaBinafsi nilipewa maiki kuhutubia wakaniwekea vumbi kumbe muwekaji hakuwa mzoef akaniwekea vumbi la Congo nikaishia kusimamisha mkuyenge na kuanza kumtongoza mgeni rasmi.