Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

Dah! Umenikumbusha yule mzee aliejenga OSWALD Mang'ombe na zile CHIEF wanzagi. Nilimkubali sana mtalam mzuri wa sheria.

Sawa mkuu but uwe makini kuhusu ugari wa watu.
 
Boss mwembamba angekuwa anaishi miaka mia nne lengo huwenda lingetimia
Lakini pale alipo maji ya jioni akianguka tu habari imeisha
 
Pamoja na utetezi hapa mtu hajadata tuu๐Ÿค“
 
Kwa kiingereza yasemwa โ€œhe entered uncharted watersโ€.

Kwenye siasa khasa hizi zenye mifumo ya Kleptokrasia mwanasiasa au anaedhania kuwa yeye ni mwanasiasa ni lazima awe na washauri werevu maana wao watamsaidia kuchunga kauli.
 
Unakujua huku kote? Au umetumia I'd mbili MOJA kujitajia eneo na I'd nyingine kulifafanua !
 
Huyu "mpakwa mafuta" (nukuu toka thread ya P. Mayalla ๐Ÿ‘‰๐Ÿผ Hapa๐Ÿ™‚, Law #1 inamhusu| The Hidden Path to Power: Why Outshining the Master Isn't What You Think
 
Binafsi nilipewa maiki kuhutubia wakaniwekea vumbi kumbe muwekaji hakuwa mzoef akaniwekea vumbi la Congo nikaishia kusimamisha mkuyenge na kuanza kumtongoza mgeni rasmi.
Hii ilimpata fid q mwanza

Akafukuzwa na kukosa show zote kil music tour na aliumia Sana

Alifika stejini akawasalimia wakazi wa mambo vipi dare ss alaam

Na mwisho alishindwa kuimba so tuwe makini sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ