Makonda tunajua ukimya wako wa ghafla si wa kawaida

🤔💭🔭
 
Mfalme wa Maono GENTAMYCINE nikiwaonya na kuwashauri hapa Wananidharau sasa ngoja yaanze Kuwakuta ndipo watajua GENTAMYCINE ni Zawadi ya Kipekee na ya Thamani kutoka Kwake Mwenyezi Mungu ambayo Wao wanaidharau na wananidharau.
🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🔊
 
Wati waoga siku zote huwaga hawana mafanikio yoyote yale ila watu wagumu wenye kudhubutu ngangari ngunguri webye kujitoa mhanga wakifaulu huwa matajiri au wenye mafanikio makubwa waulize kina nyerere walioyapitia
Kuitwa baba wa taifa sio mchezo
 
Ni akili ndogo sana kuibuka na stori za vijiwe vya kahawa kuleta huku. Aibu yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…