Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu Wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri

Kwa iyo wewe unaamini mwaka 2013 makonda alikua na 120m za kununua kiwanja regency estate? Je mwaka 2013 unapata kuwanja regency estate kwa 120m? Acha kutumia masabuli kufikiria broo
 
Kwa iyo wewe unaamini mwaka 2013 makonda alikua na 120m za kununua kiwanja regency estate? Je mwaka 2013 unapata kuwanja regency estate kwa 120m? Acha kutumia masabuli kufikiria broo

Wivu, Roho mbaya na nyege = masikini
 
Kosa la makonda ni kutokufanya transfer kwa wakati.

Jamaa wametumia hiyo loophole kumtingisha.

Ila kama signature za GSM ni authentic na alisaini bila kushurtishwa.

Basi Makonda ana haki.
Maswali ni mengi
1.Kwa nini picha ipo juu ya muhuri
2.Kwa nini huo mkataba wa 2013 hawakulipa kodi za serikali?
3.Poo Makonda alitoa wapi milioni 120 kununua plot kwa GSM mwaka 2013?
 
Bashite aliturusha roho sana tusio na kazi mpaka mjini, sijui alijiamini vipi kusema atatufukuza turudi kijijini [emoji3]

Ilikuwa anawafukuza wabunge wasije mkoani kwake wakae huko huko Dodoma wakati wa Bunge!!!
 
Kabla ya yote ije kwanza picha ya hilo ghorofa tulione halafu ndo tuanze kubishana vizuri!.

KicHwa Box
 
Pia 2013 alikuwa bado bwana mdogo sana lakini picha ni ya sura yake ya sasa
 
Hii vita ni zaidi ya uijuavyo hivyo tulia
Hakuna vita yoyote acha kumfariji kinachotakiwa ni kuonesha documents halali basi.

Hakuna mtu aliye tayari kuhatarisha maslahi yake eti kwasababu ya Makonda aliyejiishia huku akiwa na kesi mahakamani.
 
Back
Top Bottom