Picha itapendeza.Limeishaa,linamsubiri yeye tu akakae japo sio la kivileeee
Sent from my SM-A037G using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Picha itapendeza.Limeishaa,linamsubiri yeye tu akakae japo sio la kivileeee
[emoji3][emoji3]Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.
Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.
Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.
Kila la kheri
Kwa hiyo aliuziwa kiwanja alafu muuzaji akaingia mkataba wa ujenzi na Mkandarasi?
Naomba nisisitize hili. Watu acha kusoma umbea tu chukua na dondoo za msingiLa Makonda na GSM ni mwanzo wa ngoma tusubiri dansi lenyewe kwenye suala la ardhi nchini
Nawashauri tu wenye kumiliki maeneo hakikisheni mna nyaraka muhimu juu ya umiliki wenu
Otherwise kuna kilio kikubwa sana hapo baadaye
document yake hiyo apoDocuments halali zitaamua nani mmiliki halali wa hicho kiwanja na mjengo.
Mpaka sasa GSM kaweka hadharani uhalali wa umiliki wa kiwanja na mjengo.Makonda aka Bashite atumwagie documents zake na si vinginevyo.
Tukimaliza hapo tu nakwenda kuangalia kama hicho kiwanja na mjengo viliorodheswa katika hati ya Tume ya maadili ya viongozi wa umma.
Tukimaliza hapo tutamhoji iwapo ana kipato halali cha kuweza kununua kiwanja husika na kufanya majenzi.
Tukimaliza hapo tunakwenda kumuhuliza wakati wa tukio la Lissu kupigwa risasi alikuwa wapi ?
Tukimaliza hapo tutataka kujua majina yake halali na cheti chake cha kumaliza std 7 & form 4.Tutaomba arejeshe mishahara yake yote tangu akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
Mpaka hapo itabidi arejee koromije.
Ni hayo tu kwa leo.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Ili ukiwa zwazwa basi hata ufanye nini uzwazwa haukuachii🤣🤣🤣
kinachotia shaka katika hizi nyaraka, ni mihuri inatangulia kwanza halafu picha zinawekwa juu yake.
Kupambana ni kupeleka hati na vielelezo vingine mahakamani sio kwa mipasho.
Na wakati huo huo atakuwa amewaalika takukuru ili awaambie ni kwa namna gani alizipata Mali hizo ikiwa mtumishi wa uma kwa muda mfupi? Je alikuwa akiorodhesha Mali hizo ktk fomu za maadili?
Pengine alishafanya biashara hatuwez kumuhukumu moja kwa moja, basi atalazimika kuonesha biashara na malipo yake ya kodi.
Kiufupi huu mgogoro unamuweka pabaya
Ila BONGO bhana salutu,,,, mmeshidwa kupata kupata PICHA ya JENGO,,,, ambalo liko nje kila m2 analiona... Mumeleta NYARAKA ambazo zimefichwa kabatini nahis hata MKEWE hajawai zionaaaa...
yeye alipata wapi? kama si lake ni muhimu apokonywe tu maana hamnna jinsiKwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.
Kwa ninavyowafahamu Wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.
Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.
Kila la kheri
So hata kama alilipata kwa njia haramu.Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.
Kwa ninavyowafahamu Wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.
Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.
Kila la kheri
Wanadai mchongo ulikuwa 2013,GSMu walimuuzia Bashite kiwanja maeneo nyeti hapo Daslam kwa 120M.Wao watoto wa mjini walikinunua 500M 2006.Hilo eneo alinunua au alipewa kama zawadi na GSM? Alipewa eneo wazi au na hilo jengo/ghorofa?
Sijapata undani wa hili Sakata.. Thread zote hazielezei Kwa kina. Zinatoa muendelezo tu kama vile watu wote wanajua yanayoendelea huko Daslam
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiamini sana maelezo ya mtu aitwaye wakili.KWA MUJIBU WA MAELEZO YA LAWYER WA GSM NADHANI WANAUHALALI KWA DHATI KABISA