Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Makonda usikubali kuachia hilo ghorofa na imani kubwa kuna nguvu kubwa inakulinda

Documents halali zitaamua nani mmiliki halali wa hicho kiwanja na mjengo.

Mpaka sasa GSM kaweka hadharani uhalali wa umiliki wa kiwanja na mjengo.Makonda aka Bashite atumwagie documents zake na si vinginevyo.

Tukimaliza hapo tu nakwenda kuangalia kama hicho kiwanja na mjengo viliorodheswa katika hati ya Tume ya maadili ya viongozi wa umma.

Tukimaliza hapo tutamhoji iwapo ana kipato halali cha kuweza kununua kiwanja husika na kufanya majenzi.

Tukimaliza hapo tunakwenda kumuhuliza wakati wa tukio la Lissu kupigwa risasi alikuwa wapi ?

Tukimaliza hapo tutataka kujua majina yake halali na cheti chake cha kumaliza std 7 & form 4.Tutaomba arejeshe mishahara yake yote tangu akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.

Mpaka hapo itabidi arejee koromije.

Ni hayo tu kwa leo.

Ngongo kwasasa Mikocheni.
 
Si kwamba aling'ang'anie kwa maneno na vilio tu, anatakiwa apeleke documents za umiliki zitakakohitajika kuthibitisha umiliki wake...

Suala la wakubwa kuangalia mtanange huu hatakiwi kushangaa.. Maana hata yeye wakati wake kuna wakubwa walikuwa nyuma yake

Pale huwezi kuhimili ukweli kwamba haupo tena kwenye system halafu usikie watu wanataka wakutie umaskini!
c0a2797f04b83999ba6c04414873b60f.jpg
 
Ana kweli Dunia hii kila kitu ni mapito. Makonda huyu huyu wa jeuri ile leo kafukia hatua ya kulalama hivi?
Mwache ale jeuri yake
 
Kupambana ni kupeleka hati na vielelezo vingine mahakamani sio kwa mipasho.
Na wakati huo huo atakuwa amewaalika takukuru ili awaambie ni kwa namna gani alizipata Mali hizo ikiwa mtumishi wa uma kwa muda mfupi? Je alikuwa akiorodhesha Mali hizo ktk fomu za maadili?
Pengine alishafanya biashara hatuwez kumuhukumu moja kwa moja, basi atalazimika kuonesha biashara na malipo yake ya kodi.
Kiufupi huu mgogoro unamuweka pabaya
Vipi lile Container lililokuwa na Furniture alilodai ni la msaada!? Liliishia wapi??
Nchi hii ulaghai mtupu!
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Hakulipata kihalali? Haki ya mtu haipotei, mwenye haki atashinda!
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Iviiiii kwa muda alio kaaa madarakan na mshaaahara alikuwa akilipwa yanaaakisi maliiii anazomilikiiiii???????
 
Mzee nyboma Sasa makonda alipataje kiwanja kwa mshahara upi

Hi wizar ya ardh toka aingie yule kijn pendwa nilipata waswas Sana
Shangaa na wewe kwa mshahara wa sh.ngapi mtumishi wa serikali kiwanja cha mabilion
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
Sawa msukuma mwenzake....pambaneni kiboya hadi tone la mwisho
 
Msimpe moyo wowote. Mtu Hana document ya umiliki utasemaje Mali yake..hata aende mahakamani au popote ataonekana tapeli na mvamizi...kesi za hivi Hakuna anayechomoka..GSM sio msafi na uchafu wake toka home shopping hakuna ntu asiyeujua..kusema utafunua madudu yake Ni kutumia hoja dhaifu Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa ufupi ni kwamba ukisalimu amri ukakabidhi hilo ghorofa kwa GSM jua daraja la umasikini linakunyemelea.

Kwa ninavyowafahamu wasukuma si rahisi kukata tamaa pambana hadi tone lako la damu la mwisho.

Kuna wakubwa wanafuatilia huu mtanange kwa ukaribu zaidi.

Kila la kheri
anatakiwa kupambana aende kubadilisha umiliki ili awe na hati. ila ni vigumu sana kama mwenzako ana hati, wewe huna na bado unaamini utashinda, na hapajawahi kuwa na double allocation.
 
Si kwamba aling'ang'anie kwa maneno na vilio tu, anatakiwa apeleke documents za umiliki zitakakohitajika kuthibitisha umiliki wake...

Suala la wakubwa kuangalia mtanange huu hatakiwi kushangaa.. Maana hata yeye wakati wake kuna wakubwa walikuwa nyuma yake
Bila docs. Ni ile amri kuwa "GSM nataka mnijengee ghorofa"
 
Back
Top Bottom