Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Documents halali zitaamua nani mmiliki halali wa hicho kiwanja na mjengo.
Mpaka sasa GSM kaweka hadharani uhalali wa umiliki wa kiwanja na mjengo.Makonda aka Bashite atumwagie documents zake na si vinginevyo.
Tukimaliza hapo tu nakwenda kuangalia kama hicho kiwanja na mjengo viliorodheswa katika hati ya Tume ya maadili ya viongozi wa umma.
Tukimaliza hapo tutamhoji iwapo ana kipato halali cha kuweza kununua kiwanja husika na kufanya majenzi.
Tukimaliza hapo tunakwenda kumuhuliza wakati wa tukio la Lissu kupigwa risasi alikuwa wapi ?
Tukimaliza hapo tutataka kujua majina yake halali na cheti chake cha kumaliza std 7 & form 4.Tutaomba arejeshe mishahara yake yote tangu akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
Mpaka hapo itabidi arejee koromije.
Ni hayo tu kwa leo.
Ngongo kwasasa Mikocheni.
Mpaka sasa GSM kaweka hadharani uhalali wa umiliki wa kiwanja na mjengo.Makonda aka Bashite atumwagie documents zake na si vinginevyo.
Tukimaliza hapo tu nakwenda kuangalia kama hicho kiwanja na mjengo viliorodheswa katika hati ya Tume ya maadili ya viongozi wa umma.
Tukimaliza hapo tutamhoji iwapo ana kipato halali cha kuweza kununua kiwanja husika na kufanya majenzi.
Tukimaliza hapo tunakwenda kumuhuliza wakati wa tukio la Lissu kupigwa risasi alikuwa wapi ?
Tukimaliza hapo tutataka kujua majina yake halali na cheti chake cha kumaliza std 7 & form 4.Tutaomba arejeshe mishahara yake yote tangu akiwa Mkuu wa Wilaya na Mkuu wa Mkoa.
Mpaka hapo itabidi arejee koromije.
Ni hayo tu kwa leo.
Ngongo kwasasa Mikocheni.