Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ndio nyie masikini mkiachiwa mlinde jengo baada ya miaka mnajimilikisha na kung’ang’ania kama mali ya baba zenu
Ukiwa masikini ni masikini na hela ili uwe nazo ni lazima uzipende ili zikupende
Haya tuone kama atamiliki kwa nguvu sasa
Ukiwa masikini ni masikini na hela ili uwe nazo ni lazima uzipende ili zikupende
Haya tuone kama atamiliki kwa nguvu sasa