Tetesi: Makonda Waziri Mkuu 2025-2030

Atakuwa Waziri mkuu wa wafungwa wenzake gerezani Ukonga au Kisongo Arusha...

Au anaweza hata kwenda kuwa Waziri mkuu wa malaika wa kuzimu iwapo hatachukua hatua mapema kutengeneza upya maisha yake....!
 
M
Marekani hakanyagi tena mpk kifo,ila wale jamaa wanatujua nje ndani wanatuzoom tu
 
Labda waziri mkuu wa Burundi. Nini Tanzania hata Malawi hatoshi kuwa waziri wa wasichana.
 
Unaota ndoto za mchana,haziwagi kweli abadani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…