MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
Maigizo yake huleta tija inshort mkuu wa mkoa ni " Content creator"Na mapungufu yake yote, nahisi maigizo yake huleta tija wakati mwingine.
Naamini anaweza kuwa waziri mkuu mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maigizo yake huleta tija inshort mkuu wa mkoa ni " Content creator"Na mapungufu yake yote, nahisi maigizo yake huleta tija wakati mwingine.
Naamini anaweza kuwa waziri mkuu mzuri.
Atakuwa Waziri mkuu wa wafungwa wenzake gerezani Ukonga au Kisongo Arusha...Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Afadhali ya Emmanuel Nchimbi ako na hekimaNa Rais atakuwa Makonda kama ni hivyo basi.
Hawo wo5e nawaina kama wapu7zi tu!
Marekani hakanyagi tena mpk kifo,ila wale jamaa wanatujua nje ndani wanatuzoom tuNaingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Labda waziri mkuu wa Burundi. Nini Tanzania hata Malawi hatoshi kuwa waziri wa wasichana.Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Unaota ndoto za mchana,haziwagi kweli abadani!Naingia kwenye mada kwa ufupi. Hakuna haja ya maelezo marefu wakati kila kitu kiko wazi. Siku zote sio lazima umuombe adui yako njaa ili wewe ufanikiwe. Kuna wakati unaweza kumuombea njaa ukaumia wewe mwenyewe na ukamuombea shibe ukanufaika.
Hivi ndivyo unavyoweza kusema baada ya mpinzani mkubwa wa Makonda kwenye mbio za ubunge wa jimbo la Kigamboni kuteuliwa kuwa Mkutugenzi wa WHO Kanda ya Afrika. Dr Faustine Ndungulile alikuwa anamnyima usingizi Makonda pale Kigamboni. Sasa jimbo liko wazi.
Katika siku za karibuni Makonda alipotea kwa takribani mwezi mzima kwa kisingizio kwamba alikuwa likizo. Sasa imebainika dhahiri kuwa hakuwa likizo bali alikuwa amejifungia mahali akifanya maombi na kufunga akimuombea Dr Ndungulile afanikiwe kuwa Mkurugenzi wa WHO amuachie jimbo. Maombi yake yametimia kwa 101%.
Pia mtakumbuka siku za karibuni Makonda alifanya maombi maalumu ya kuwa Waziri Mkuu mwaka 2025-2030. Maombi haya yalienda sanbamba na maombi ya kumuondoa Ndungulile pale Kigamboni. Mungu amejibu maombi 💯%.
Kwa mtaji huu, 2025 Makonda atapita kule Kigamboni bila kupingwa na atateuliwa na Rais kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kuanzia 2025 hadi 2030
Mungu hamtupi mja wake na hajamtupa Makonda. Wale matomaso msioamini nguvu ya maombi na nguvu za Makonda katika maombi, sasa muanze kumsalimia kwa heshima. Ndiye Waziri mkuu ajaye. Shikamoo Mh Waziri Mkuu, Paul Christian Makonda! Wabeja kulumba Baba!
Hamna vyama vingine,anagombea navyo?Au ndo wizi mtupuMwaka 2020 Ndungulile alimfanyia figisu. Sasa hivi atapita bila kupingwa na nafasi yake ya uwaziri mkuu ipo palepale. Hakuna mtu wa kumzuia. Ameanza na Mungu, atamaliza na Mungu
Cc
ChoiceVariable MamaSamia2025