Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Issue sio kuuza hata hayajawa cleared na Ushuru pia ukute hata sio ya hapa ni kwenda nchi jirani! Utasema ameficha mkuu?? Tuache siasa kwenye business na economy! Vipi kama alinunua kwa bei ya juu zaidi ya elekezi ya 1,800? Ataendelea kuuza tu!Mbona hawauzi sasa?