Makosa wafanyayo wanaume katika kutuma nauli ili mwanamke aje ghetto ambayo husababisha mwanamke kutokuja ghetto licha ya kutumiwa nauli

Mbinu ni nzuri kama kwenye Bank account yako una hela ya ziada million 5 na zaidi
 
Wengine inawasaidia:
1.kwenda saluni
2.kununua vazi jipya au vazi la ndani kwa ajili ya kukuvulia huku akishukuru kumjali
3.wameumbwa kupewa.
 
Upumbavu zamani ushapitwa na wakati
Ukitaka kumchanganya Zaidi, akisha pokea Pesa then akakupigia, usipokeee, after 3 missed call or something mtext mwambie upo busy kidogo utamjulisha ukiwa free.. hapo mkuu utakuwa umeiteka akili yake chini ya MIGUU yako.
 

Mambo hayoo
 
Waambie watume kuanzia laki kupanda juu hata kama nauli ni buku.
 
Atumie hela yake akifika ghetto unafanya 'reimbursement' CPA holders tukataka na risiti Kwa ajili ya retirement
 
Hahaha, umenikumbusha tumetoka kwny semina yenye hela ndefu kidg Mshkaji wangu akamtumia manzi laki na tano (105,000/=) kutoma Mwanza to Arusha....jamaa amesubiri HOLAAA..!

Namba ya manzi haikupatikana siku 2, baada ya hapo manzi akamtext jamaa kuwa walipata msiba amtumie nyingine aje

Sijui km walikutana au lah
 
Itoshe tu kusema nikikumbuka utamu wa kitimoto hata buku sihongi.

Itoshe tu kusema huyo demu akwende tu
 
Kama anaishi mwanza to dar inatakiwa nitume laki tatu[emoji23]
 
Katika vitu sijawahi fanya ni huu ujinga..kutadate na mwanamke ambaye hata nauli hana...kuna dada mmoja nilikuwa namheshimu sana yuko mikoani na anafanya kazi kubwa tu, siku akaniambia hiyo kauli eti akitaka kuja Dar lazima mwanaume amtumie nauli..nilimdharau sana...toka hapo nkapunguza ukaribu...nadhani hata naye anashangaa huko why huyu jamaa speed imekata.....
 
Cheza Na akili yake. Si anasema yupo Morogoro sio? Nauli ya Moro Ni sh elfu Saba sio? Wewe mtumie sh elfu 55 ili atoe elfu 50 kamili.
Mwisho wa siku naifanya ni ni return ticket na labour charge
 
Yeah Pesa kama Pesa Ni language inayo jitegemea. Unaweza kuitumia Pesa Ku mcomand mwanamke akafanya unacho taka wewe bila kuzungumza chochote
MONEY POWER RESPECT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…