Makosa wafanyayo wanaume katika kutuma nauli ili mwanamke aje ghetto ambayo husababisha mwanamke kutokuja ghetto licha ya kutumiwa nauli

wewe si uliaga Kwenye Uzi wako kwamba hutakua JF Kwa Muda kama mwaka Hivi kipi kimekurudisha mbio,au
unampango wa kuoa umekuja gawa kadi?
😁😁😁😁
Nimekuja kuokoa wanaume wenzangu.
Wengi wanaangamia kwenye ndoa.
#YNWA
 
Hahaa! Ulimkatili sana aisee
 
Hamna kitu lazima upigwe tu yani hapo hapana formular mzee
 
Katika swala la kutuma nauli hakuna mbinu iliyo salama. Kama hivi unavyofundiaha wewe mbinu za kutuma nauli basi tambua hata hao wanawake nao wanafundishana mbinu mpya za kula nauli.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Solution labda kuoa tu aisee au utume nauli kwa manzi unayepajua kwake na usharuka naye mara kadhaa [emoji23]

Kutuma nauli ni kubeti tu [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…