Labda unakula vizuri weee mzee. Kosa kubwa la mmbongo ni kuwa akishashiba yeye ana assume na wengine wote wameshiba.Magufuli hakua na tofauti na baba mwenye utajiri mkubwa anaonekana anajenga mijumba na magari ya kifahari lakini nyumbani watoto wanakufa njaa na kuvimba tumbo kwa lishe duni,
Angeendelea kutawala hadi sasa amini nawaambieni tungemtoa kama wale jamaa wa sirilanka.
Sasa vitu vinapanda bei lkn bei tunakula vizuri, enzi zake vitu bei rahisi lkn hela hamna. MUNGU aliingilia kati kuokoa hili taifa letu.
Wengi tuna njaa. Samia anayaishi matokeo ya makosa ya Magufuli.Labda unakula vizuri weee mzee. Kosa kubwa la mmbongo ni kuwa akishashiba yeye ana assume na wengine wote wameshiba.
Subiri 2025 uone kimbungaNyie wenyewe mshaparaganyika...
Magufuli hakufanya maisha kuwa magumu isipokuwa kwa wapenda shortcut tu ndio walipitia ugumu.Wengi tuna njaa. Samia anayaishi matokeo ya makosa ya Magufuli.
Kimbunga cha kutengenezwa huja na laana. si Ulikiona kisulisuli cha 2020 kilivyomalizikia!!Subiri 2025 uone kimbunga
Baba wa hivyo ni mzuri sana!Magufuli hakua na tofauti na baba mwenye utajiri mkubwa anaonekana anajenga mijumba na magari ya kifahari lakini nyumbani watoto wanakufa njaa na kuvimba tumbo kwa lishe duni,
Angeendelea kutawala hadi sasa amini nawaambieni tungemtoa kama wale jamaa wa sirilanka.
Sasa vitu vinapanda bei lkn bei tunakula vizuri, enzi zake vitu bei rahisi lkn hela hamna. MUNGU aliingilia kati kuokoa hili taifa letu.
Hatimaye umesema ukweli.Mzee hakupenda janja janja alinyoosha mstari kwa bunduki.
Kwa hiyo kisulisuli kilishaishaa na 2025 hamtalalamika tena?Kimbunga cha kutengenezwa huja na laana. si Ulikiona kisulisuli cha 2020 kilivyomalizikia!!
Hio ni lugha ironically. Kumaanisha he was serious na kile alikuwa anafanya.Hatimaye umesema ukweli.
Huwa hatulalamiki bali husema ukweli.Kwa hiyo kisulisuli kilishaishaa na 2025 hamtalalamika tena?
umekiri alitumia bunduki. Kuua??Hio ni lugha ironically. Kumaanisha he was serious na kile alikuwa anafanya.
Hujielewi wewe, tafuta maana ya irony kwenye lughaumekiri alitumia bunduki. Kuua??
Naijua ila wewe ulimaanisha. Kwa ivo waliokuwa nje ya mstari bunduki iliwashughulikia!!Hujielewi wewe, tafuta maana ya irony kwenye lugha
kosa lako kuelewa utakavyo sio langu.Naijua ila wewe ulimaanisha. Kwa ivo waliokuwa nje ya mstari bunduki iliwashughulikia!!
Angalau leo mtu mmoja wa Lumumba katoa siri.
Hachekagi na nyani yule mzee nyote mnajua.Naijua ila wewe ulimaanisha. Kwa ivo waliokuwa nje ya mstari bunduki iliwashughulikia!!
Angalau leo mtu mmoja wa Lumumba katoa siri.
Alikuwa anatumia mabavu sana eenh?Hachekagi na nyani yule mzee nyote mnajua.
si huwa mnapendwa mlambwe lambwe kama ilivyo sasaAlikuwa anatumia mabavu sana eenh?
Ukiona mtu anatumia sana mabavu jua hana maarifa. Ila kutumia bunduki alizidisha sana mabavu, Au ndiyo maana kuna watu waliona kama anakuwa dikteta??si huwa mnapendwa mlambwe lambwe kama ilivyo sasa
Huwezi kujua kama una mapepo mpaka ukizinduka toka chini ulipoanguka baada ya kuombewa.Hivi chadema mijitu mazezeta kama hili lililoleta mada mnaitoa wapi? Hili nalo lazima litakuwa lifuasi la Mr #dishlimetilt, mawazo yao ni kama Chanda na pete.
Maarifa unayatumia kwa watu waliostaarabika sio watu ambao wanajifanya much know😄😄😄Ukiona mtu anatumia sana mabavu jua hana maarifa. Ila kutumia bunduki alizidisha sana mabavu, Au ndiyo maana kuna watu waliona kama anakuwa dikteta??