Funa the Wild
Senior Member
- Aug 1, 2022
- 167
- 282
Utalii wa Majini
Miongoni mwa maeneo ambayo utaweza kufanya utalii wa majini na nchi kavu basi hifadhi ya taifa Saadan ni miongoni mwa hifadhi ambayo inaweza kukupatia utalii wa aina iyo.
Hifadhi hii ipo mkoa wa Tanga nchini Tanzania. Ni hifadhi ambayo utafahamu mambo mbali mbali yanayohusiana na Kasa/Sea turtles wanaopatikana ndani ya bahari ya hindi katika eneo la hifadhi ya Saadan. Miongoni mwa kasa wanaopatikana ndani ya hifadhi iyo ni pamoja na,
Sea Green turtles/Kasa wa kijani
KASA WA KIJANI (Sea Green turtle/chelonia mydas)........ KWA NINI HUITWA KASA WA KIJANI??.....
Asilimia kubwa ya walio wengi huwa wanapata ugumu wa kutofautisha KASA na KOBE kitu kinachofanya kuzidi kuwa na maswali mengi juu ya hawa viumbe wawili kiuhalisia kuna tofauti kubwa japo wote wanapatikana kwenye familia Moja.
Duniani kuna aina mbalimbali za KASA na wanatabia tofauti tofauti, Tanzania ni mwiongoni mwa nchi zilizojaaliwa kuwa na KASA. Wanapatikana kwenye bahari ya hindi. Kwa Tanzania, hupatikana Tanga kwenye hifadhi ya Taifa SAADAN. Pia hupatikana kwenye visiwa vya MAFIA.
KASA WA KIJANI NI NANI??
KASA wa kijani ni kasa wa pili kwa ukubwa Duniani hupatikana bahari ya hindi, huzaliwa na urefu wa millimita 30 na huzeeka na urefu wa Mita 1.5 na uzito wa kilo 400. Ana magamba 13 mgongoni na mawili (2) kichwani. Hutaga mayai kuanzia 80 hadi 150 kwa mda mmoja.
KASA WA KIJANI chakula chake kikubwa ni mimea inayopatikana chini ya bahari kitaalamu inaitwa Sea grasses.
KWANINI HUITWA KASA WA KIJANI??
Huitwa Kasa wa kijani kutokana na aina ya chakula anchokula (mimea inayopatikana chini ya bahari/sea grasses). Anapokula mimea hii, hutengeneza rangi ya kijani kwenye mafuta yanayopotikana ndani ya mwili wa kasa.
Miongoni mwa maeneo ambayo utaweza kufanya utalii wa majini na nchi kavu basi hifadhi ya taifa Saadan ni miongoni mwa hifadhi ambayo inaweza kukupatia utalii wa aina iyo.
Hifadhi hii ipo mkoa wa Tanga nchini Tanzania. Ni hifadhi ambayo utafahamu mambo mbali mbali yanayohusiana na Kasa/Sea turtles wanaopatikana ndani ya bahari ya hindi katika eneo la hifadhi ya Saadan. Miongoni mwa kasa wanaopatikana ndani ya hifadhi iyo ni pamoja na,
Sea Green turtles/Kasa wa kijani
KASA WA KIJANI (Sea Green turtle/chelonia mydas)........ KWA NINI HUITWA KASA WA KIJANI??.....
Asilimia kubwa ya walio wengi huwa wanapata ugumu wa kutofautisha KASA na KOBE kitu kinachofanya kuzidi kuwa na maswali mengi juu ya hawa viumbe wawili kiuhalisia kuna tofauti kubwa japo wote wanapatikana kwenye familia Moja.
Duniani kuna aina mbalimbali za KASA na wanatabia tofauti tofauti, Tanzania ni mwiongoni mwa nchi zilizojaaliwa kuwa na KASA. Wanapatikana kwenye bahari ya hindi. Kwa Tanzania, hupatikana Tanga kwenye hifadhi ya Taifa SAADAN. Pia hupatikana kwenye visiwa vya MAFIA.
KASA WA KIJANI NI NANI??
KASA wa kijani ni kasa wa pili kwa ukubwa Duniani hupatikana bahari ya hindi, huzaliwa na urefu wa millimita 30 na huzeeka na urefu wa Mita 1.5 na uzito wa kilo 400. Ana magamba 13 mgongoni na mawili (2) kichwani. Hutaga mayai kuanzia 80 hadi 150 kwa mda mmoja.
KASA WA KIJANI chakula chake kikubwa ni mimea inayopatikana chini ya bahari kitaalamu inaitwa Sea grasses.
KWANINI HUITWA KASA WA KIJANI??
Huitwa Kasa wa kijani kutokana na aina ya chakula anchokula (mimea inayopatikana chini ya bahari/sea grasses). Anapokula mimea hii, hutengeneza rangi ya kijani kwenye mafuta yanayopotikana ndani ya mwili wa kasa.