Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Freed Freed

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2017
Posts
6,547
Reaction score
7,167
Nisipoteze muda.

Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni

1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.

2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.

3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk

4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.

5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.

6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
 
Nilichogundua kwanza hujui maana ya nguvu za kiume kwa mwanaume akiwa kitandani. Nilichogundua unafikiri kuwa na nguvu za mwili ndiyo kuwa na nguvu za kiume. Nasema hivi kwa sababu nafahamu kutofautisha kati ya NGUVU ZA KIUME KWA SEX na NGUVU ZA KIUME ZA MWILI (BODY ENERGY).

Kuna uhusiano kidogo sana kwa mtu ambae anabeba mizigo mizito kuwa itapelejea yeye kuwa na nguvu za kiume.

Kiufupi nguvu za kiume ni sensitive issue kuliko manguvu ya mwili.

Kiufupi umetumia traditional theory.
 
Kwahiyo ukiwa mbeba mizigo mizito

Au ukiwa mwanajeshi tayari unakuwa umesha yajua mapenzi ... Aisee unahitaji kupewa darasa Kubwa Sana [emoji3]
Wanastamina kitandani, uwezo wa kurudia tendo mara kwa mara na kuchelewa kumwaga sh......wa.
 
Nilichogundua kwanza hujui maana ya nguvu za kiume kwa mwanaume akiwa kitandani. Nilichogundua unafikiri kuwa na nguvu za mwili ndiyo kuwa na nguvu za kiume. Nasema hivi kwa sababu nafahamu kutofautisha kati ya NGUVU ZA KIUME KWA SEX na NGUVU ZA KIUME ZA MWILI (BODY ENERGY).

Kuna uhusiano kidogo sana kwa mtu ambae anabeba mizigo mizito kuwa itapelejea yeye kuwa na nguvu za kiume.

Kiufupi nguvu za kiume ni sensitive issue kuliko manguvu ya mwili.

Kiufupi umetumia traditional theory.
Huu ni utafiti mkuu, nimewahoji wanawake.
 
Ni hulka tu, tafuta wake wa wale wasio na vyeo. Kila siku mazoezi na shuluba za kambini.
Mazoezi/shuluba gani ambayo ni ngeni kwa wengine! kukaa lindoni au kukimbia mabio.!
Hakuna kipya kwao maana vyote huku kitaani tunafanya,na mizigo tunapiga haswa.
 
Back
Top Bottom