Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16]Hamna kitu hapo ,yaani haya ni mawazo yako umeamka ukaona na kudhani nguvu za kiume zinatokana na nguvu za mwili kwa 100%
Hujambo kuli, msalimie demu wako.Mazoezi/shuluba gani ambayo ni ngeni kwa wengine! kukaa lindoni au kukimbia mabio.!
Hakuna kipya kwao maana vyote huku kitaani tunafanya,na mizigo tunapiga haswa.
Huyu ameota usiku na kufikiri nguvu za mwili ndo nguvu za kiume. Hafai hata kusikilizwa huyu maana hajui.Hili tu pekee halitoshi ..kupiga goli kwa Mwanaume wakati mwanamke hajapiga hata bao 1 Ni Ujinga ..
Mwili unakuwa na stamina na ubora wa tendoKwani zinatakiwa nguvu sana eee
Indeed [emoji16]Huyu ameota usiku na kufikiri nguvu za mwili ndo nguvu za kiume. Hafai hata kusikilizwa huyu maana hajui.
Yaelekea hupendi ila ndiyo hivyo.Huyu ameota usiku na kufikiri nguvu za mwili ndo nguvu za kiume. Hafai hata kusikilizwa huyu maana hajui.
Hamna lolote kula kulala ninyi.Sisi tunaokaa kwa mashemeji je?
Huwezi kudanganya hapa mkuu. Sana kama hujui haya mambo ungekuja na Uzi ukauliza ili tukueleweshe. Naongea hivo nina facts na reasons maana by professional ni Dr wa binadamu na pia mwanasaikolojia. Nafahamu mengi kuhusu haya mambo. Futa Uzi wako LA sivyo badili liwe swali tukueleweshe. Unasema umefanya utafiti ebu nipe tool na sample pamoja na locations ulizofanyia ukija na data analysis and evaluation hadi kupata na Ku conclude hii tafiti uchwara yako.Yaelekea hupendi ila ndiyo hivyo.
Ndiyo...Kwani zinatakiwa nguvu sana eee
Nguvu za kiume hazina mazoezi.Hawa wote wamekupitia ukathibitisha?..
Mbona wake wa wanajeshi wanachepuka?
Tena kijiwe chenyewe wauza kahawa na kashata na kunakuwaga na uongo mwingi.Story za vijiweni hizi....
Wanawake wa buza,ndo ume generalize wote tz,maajabu mengi hii nchi hasa awamu hiiHuu ni utafiti mkuu, nimewahoji wanawake.
Rafiki nikutafutie dili la mwanajeshi?[emoji3][emoji3]
Hujamuelewa mleta mada!Mleta mada anazungumzia ule uwezo wa kudumu kwenye tendo at least kwa muda unaotakiwa.Mfano mimi huwa nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapahapo,je hii ni sahihi?Hili siyo tatizo la kukosa mazoezi?Kwahiyo ukiwa mbeba mizigo mizito
Au ukiwa mwanajeshi tayari unakuwa umesha yajua mapenzi ... Aisee unahitaji kupewa darasa Kubwa Sana [emoji3]