Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Yaelekea hupendi ila ndiyo hivyo.
Huwezi kudanganya hapa mkuu. Sana kama hujui haya mambo ungekuja na Uzi ukauliza ili tukueleweshe. Naongea hivo nina facts na reasons maana by professional ni Dr wa binadamu na pia mwanasaikolojia. Nafahamu mengi kuhusu haya mambo. Futa Uzi wako LA sivyo badili liwe swali tukueleweshe. Unasema umefanya utafiti ebu nipe tool na sample pamoja na locations ulizofanyia ukija na data analysis and evaluation hadi kupata na Ku conclude hii tafiti uchwara yako.
 
Hawa wote wamekupitia ukathibitisha?..

Mbona wake wa wanajeshi wanachepuka?
Nguvu za kiume hazina mazoezi.

Mleta mada, kama yeye ni mwanamke habu ajaribu na wanaume wembamba wasio hata na mazoezi.

Aende Karibu Kanda ya Ziwa. Akikutana na mtu ana matatizo ya nguvu za kiume ajue ni hanithi wa kuzaliwa
 
Wala vipi chips mbona kwenye list hatupo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo ukiwa mbeba mizigo mizito

Au ukiwa mwanajeshi tayari unakuwa umesha yajua mapenzi ... Aisee unahitaji kupewa darasa Kubwa Sana [emoji3]
Hujamuelewa mleta mada!Mleta mada anazungumzia ule uwezo wa kudumu kwenye tendo at least kwa muda unaotakiwa.Mfano mimi huwa nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapahapo,je hii ni sahihi?Hili siyo tatizo la kukosa mazoezi?
 
Nguvu za Kiume zinakuzwa sana kuliko uhalisia.

Ndio maana kutwa vijana wa dar mnababaika na kuhangaika kubugia michuzi na madudu ya ajabu ajabu! Mara sijui pweza?

Ngono ipo kwa ajili ya kuridhisha mwili na kuzaa! Ukishazaa na kuridhika INATOSHA.

Unataka upampu kama tembo? ili iweje?

Huu ni ugonjwa wa akili sasa! exaggerated imaginations and hallucinations!

TOSHEKAA!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom