Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Makundi ya Wanaume yanayoongoza kwa nguvu nyingi za kiume na stamina kubwa kitandani

Huwezi kudanganya hapa mkuu. Sana kama hujui haya mambo ungekuja na Uzi ukauliza ili tukueleweshe. Naongea hivo nina facts na reasons maana by professional ni Dr wa binadamu na pia mwanasaikolojia. Nafahamu mengi kuhusu haya mambo. Futa Uzi wako LA sivyo badili liwe swali tukueleweshe. Unasema umefanya utafiti ebu nipe tool na sample pamoja na locations ulizofanyia ukija na data analysis and evaluation hadi kupata na Ku conclude hii tafiti uchwara yako.
Sample questions.
Ni mwanaume gani amewahi kukuridhisha kitandani?
Ni mwanaume gani unamkubuka Sana ktk suala la mahusiano?
Ni mwanaume gani hujuti kuwa naye kimahusiano bila kuzingatia pesa?

Locations and Areas.
Dar, Dodoma, Arusha and Mwanza cities.
Na vijiji baadhi, sitavitaja hapa.
Some urban centres.

People.
Bar maids, mademu wa vyuo, mitaani, wake za watu na wanawake wakubwa wasiokuwepo ktk ndoa.

Research duration.
Three months: From June to September 2019.
 
Hujamuelewa mleta mada!Mleta mada anazungumzia ule uwezo wa kudumu kwenye tendo at least kwa muda unaotakiwa.Mfano mimi nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapahapo,je hii ni sahihi?Hili siyo tatizo la kukosa mazoezi?
Wewe umenielewa Sana Sana. Stamina stamina satamina na uwezo wa kurudia mara kwa mara.
 
Sample questions.
Ni mwanaume gani amewahi kukuridhisha kitandani?
Ni mwanaume gani unamkubuka Sana ktk suala la mahusiano?
Ni mwanaume gani hujuti kuwa naye kimahusiano bila kuzingatia pesa?

Locations and Areas.
Dar, Dodoma, Arusha and Mwanza cities.
Na vijiji baadhi, sitavitaja hapa.
Some urban centres.

People.
Bar maids, mademu wa vyuo, mitaani, wake za watu na wanawake wakubwa wasiokuwepo ktk ndoa.

Research duration.
Three months: From June to September 2019.
Hahahahaha fala kweli wewe haya bhana, naona leo mmepata free umetoroka skuli uko mtaani na simu ulioacha kwa ndugu yako, nafahamu kukuona tena hadi weekend ijayo.
 
UMETUSAHAU WENYE SIX PACKS MKUU .....
.....ANYWAY UMETUKUMBUKA WAPIGA PUSHAPU ......
CIO MWANAUME UNAKUA NA MWILI SOFT KAMA WANAUME WA DAR...😃😃😃
 
Ungekuwa kweli unafanya utafiti ungeleta na hapa jf uchukue maoni ya wadada then ndio utoe conclusion. Kuliko kukimbilia kuanzia uzi wa majibu yako ya utafiti uchwara ulioufanya.
 
Hujamuelewa mleta mada!Mleta mada anazungumzia ule uwezo wa kudumu kwenye tendo at least kwa muda unaotakiwa.Mfano mimi huwa nikiiona tu papuchi huwa namwaga hapahapo,je hii ni sahihi?Hili siyo tatizo la kukosa mazoezi?
duuuuh,pole sana
 
Mapenzi mlivyokua hamyajui ndo mkaanza kuona ni kupiga pump kali kama vita. Matokeo ni kuwaumiza wanawake na kuwafanya sugu, baadae ndo wanaona wanaume hawawaridhishi. Focus kwenye kumkojoza mwanamke kwanza. Na hiyo haihitaji uwe na kazi gani ili ukojoze, mwanaume yyte hata huyo meneja mkopo bank na tumbo lake, anakojoza na kuridhisha mwanamke vzr tu
 
Nisipoteze muda.

Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni

1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.

2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.

3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk

4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.

5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.

6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
Wewe ni dume au jike au kama Sexless
 
Nisipoteze muda.

Wanaume wanaongoza kwa kuwa na stamina kubwa kitandani na kuridhisha wapenzi wao wapo sita. Unaweza kuongeza wa kwako. Wanaume hao ni

1. Makuli/Wapagazi: Demu wako au mkeo akikutana na kuli, walahi hamwachi, andika maumimivu. Makuli ni Wanaume wabeba mizigo.

2. Wanajeshi: Hawa Wana mazoezi mengi mno. Akimkamata mwanamke, basi mwanamke ataomba poo.

3. Wanamichezo: Mpira wa miguu, riadha, volleyball, basketball, waogeleaji, boxing nk

4. Wanamuziki: Sio ule Muzuki wa kisharobaro Mtu anaimba na kucheza mara moja kwa wiki. Namaanisha mtu acheze shoo ya muziki kila siku walau nusu saa au saa moja na kumwaga jasho jingi. Hawa kitandani ni balaaahh.

5. Watu wa mazoezi mbalimbali: Push-up, kichurachura, jogging, nk.

6 . Wakulima: Hawa hufanya shughuli nyingi za shamba na kushughulisha viungo vyote kuanzia unyayo hadi utosi. Hawa wakimkamata mwanamke utasikia uuuuuuiiiiiiiii, unaiuuuaaahhh. Ndoa zao ni imara Sana Sana.
Mbona Bodaboda tuna case nyingi za wake za watu?
 
Hahahahaha fala kweli wewe haya bhana, naona leo mmepata free umetoroka skuli uko mtaani na simu ulioacha kwa ndugu yako, nafahamu kukuona tena hadi weekend ijayo.
Mbona wanitusi
 
Back
Top Bottom