Malawi wameweza, Tanzania tunafuatia

Atakwambia ni lumumba chini ya mwalimu chakubanga
Chuo kikuu gani ulisoma Politica Science na mimi nitume application mkuu. Maana anona unweka very nice substances / material hapa jamvini.
Hongera sana kwa ufahamu murua kabisa.
 
Ni ngumu kwa taifa lililojaa wajinga na mang'ombe
 
Hayo maneno yanafaa kutamkwa na mtu aliye kata tamaa ya maisha
Ni Jambo jema kama Upinzani utaibuka Mshindi huko, ila kuyafananisha ya Malawi na Tanzania ni Kumfananisha Lionel Messi na Ditram Nchimbi.
 
Hao ni wananchi wa Malawi wakiongozwa na jeshi la nchi hiyo kwenye maandamano nchini Malawi
 
Sasa hiyo 1% ni yupo huyo?
1% are enjoying national cake [emoji513]

Elimu ya bongo imewajengea wengi ujinga na unafiki mkubwa Sana + uswahili uliopo huko ndio mtasubiri sana ........

Solution mngedai katiba ile ya mzee warioba kwa pamoja mpk kieleweke 2018 April mngekinukisha kweli msingekuwa hapo, mnaendeshwa na maamuzi ya mtu 1
 
Bila Tume huru nakatiba mpya hiyo itabaki ndoto za mchana jamani.
 
Ebu tutolee ushamba na kuramba viatu
Kwani Chadema huwa hamuweki mawakala? Mbona mlipata wabunge zaidi ya sabini? Na hao mawakala si huwa wanalinda na kusimamia kura cha Chadema. Sasa nani ataiba kura wakati kila chama kina wakala.
 
 
Kama ingekuwa tunafanya kila kitu kwenye mitandao ya kijamii basi tungekuwa tushaitoa ccm kitambo.
 
Lakini ukumbuke MCP kilikuwa chama tawala hadi wakati wa Dr Kamuzu Banda. Kinarudi madakarakani kwa mara ya 2.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…