Malengo yako ya mwaka huu yametimia?

Mim nusu nusu.lakin sina sababu yakulalamika namshukuru mungu hata kwa hii nusu malengo
 
Namshuku Mungu Muumba kwa huu mwaka kanijalia afya njema mimi pamoja na familia yangu yote.kuhusu malengo hayajatimia kutokana na changamoto mbali mbali,naamini kwa kwa uzima alionipa Mungu mwakani nitatoboa.AMINA
 
Bado mwez hujaisha huu,nilipanga lazima nibebe mimba mwaka huu[emoji38]...huenda nikabahatika kunasa mwez huu...isipotimia bas itangoja mwakan..japo mwakan nilitaka nipakate
Bwana wa majeshi, akutangulie lengo /tamanio lako litimie
 
Namshuku Mungu Muumba kwa huu mwaka kanijalia afya njema mimi pamoja na familia yangu yote.kuhusu malengo hayajatimia kutokana na changamoto mbali mbali,naamini kwa kwa uzima alionipa Mungu mwakani nitatoboa.AMINA
Amina,,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…