Malezi haya wanayopewa watoto wa kiume na mama zao hasa kwenye nyumba isio na baba, yapo sawa?

Malezi haya wanayopewa watoto wa kiume na mama zao hasa kwenye nyumba isio na baba, yapo sawa?

Hahaaaaa, mzigua mwenzangu wa dihombo turiani huyo. Nimemaliza, yeye anaweza mfanyia hivyo mama yake? Au Baba yake anaweza mfanyia hivyo mdogo wake wa kike? Ndio nasubiria jibu hapa.
Hahaaaah mgosi kummanya vihi kama mzigula wa dihombo
 
Kimchezomchezo dogo alikuwa anatumia "jakuuz" moja na mama yake akiwa 16yrs. Kumbe mama alikuwa akimwita waogelee pamoja akiwa na upwiru wakati baba yake yuko masomoni ulaya. Siku moja dogo kaachia wazungu na Mungu si Athumani immoooo, mama kaanza kutema mate. Kesi iliishia kupeana taraka na mtoto akawa baba kwa mama yake.
Hii Kali. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kimchezomchezo dogo alikuwa anatumia "jakuuz" moja na mama yake akiwa 16yrs. Kumbe mama alikuwa akimwita waogelee pamoja akiwa na upwiru wakati baba yake yuko masomoni ulaya. Siku moja dogo kaachia wazungu na Mungu si Athumani immoooo, mama kaanza kutema mate. Kesi iliishia kupeana taraka na mtoto akawa baba kwa mama yake.
[emoji23][emoji23][emoji23]aise
 
malezi ya aina hi ndio yanafanya akija kuwa kijana mkubwa anakia upinde toto lakiume legelege
 
Sasa kuna vijana na mama yao tupo majirani wengine walikuwa wanambeba wengine wanamhug kama hivyoo , wengine wanasema mpenzi wangu umeshindaje basi , wanamkiss ila hakuna lolote lilowahi kutokea now wameoa na wanawatoto wao
 
View attachment 2689216

Hatukatai mama na mtoto kupendana kama mzazi na mtoto lakini hii ni sawa?

Ni kweli mvulana huyu anampenda mama yake kwa jitihada za kumuandalia chakula lakini hakukuwa na namna nyingine kuonesha anampenda hadi iwe hivi ?

nae mama wala haoni shida na yawezekana ndie alimzoesha tangu akiwa mdogo, mtoto kawa kwa jinsi alivyolelewa.

si hili tu, tabia zingine mtoto kuoga na mama yake, mtoto kulala na mama yake kitanda kimoja, n.k.

Mtoto huyu akianza kubalehe naona wazi kabisa tabia hii inaweza kuchochea incest (watu wa familia moja kuingiliana)

Mara nyingi hutokea kwa nyumba zisizo na baba.
Sio sawa hapo huyo dogo amesha balehe anamgusa sehemu za makalio na sehemu zake za mbele kitakachotokea ni kichocheo Cha hamu ya ngono siungi mkono
 
Katika ukoo wetu Kuna baba alianzaga hivi na binti yake akaishia kumla.

Juzi tumefanya matambiko.
Duuh kwa mwanaume kumfanyia mtoto wa kike ni hatari sana utashawishika kwenda huko. Ila mwanamke kumfanyia mtoto wa kiume hayo ni kumwandaa kuwa shoga. Ukaribu wa mama kwa mtoto wa kiume wa kupita kiasi ni hatari sana kwa psychology ya mtoto
 
Nyinyi ndio mnaosababisha watoto kwa watoto Wana shonana wanakamiana alafu baadae mnaanza kulaani vikali
 
mama anapika chakula, mtoto kaja kumkumbatia mama yake kuonyesha anavyompenda
Hata kwa wazungu sijawahi ona kitu kama hiki. Mtoto unamkumbatia kingono (feel) Mama yako?!!
 
Katika ukoo wetu Kuna baba alianzaga hivi na binti yake akaishia kumla.

Juzi tumefanya matambiko.
Kaskazini wanayo sana hii wanaanza kula wenyewe Pana jirani yetu kawatafuna wanae,mmoja aliolewa jamaa alipopata Uzi hata mke wake mkwe wake alipitamo sana jamaa akapiga chini,binti yupo kwao kwa baba yake akiongeza idadi ya masingle mama mjini
 
Kwa wazazi wa sasa ila kwa sisi wa miaka hiyoo mmmh kitakacho kukuta hapooo Mungu ni wetu soteee
 
Sasa kuna vijana na mama yao tupo majirani wengine walikuwa wanambeba wengine wanamhug kama hivyoo , wengine wanasema mpenzi wangu umeshindaje basi , wanamkiss ila hakuna lolote lilowahi kutokea now wameoa na wanawatoto wao

Mkuu kuoa sio shida na usiseme hakuna lolote liliwahi kutokea, hua kuna mengi na mengi hayasemwi kwenye familia za ivo, yani dada zangu trust me hayo so malezi kabisa kwa mtoto wa kiume, inshot ninajua mengi kuhusu hayo malezi ila sintosema but kama unaona huu ujumbe jitahidi mtoto wako hasa wakiume akishabalehe kama unamwogopa mungu bas punguza mazoea ya kijinga(uzungu) na ndugu zako wa jinsia tofauti.

Nakusindikizia huu mfano, yule askari wa zenji shoga alikua na familia na kazi nzuri tu but nyuma ya pazia hakuna alie jua sura yake nyingine zaidi ya mungu na mabasha zake kwaiyo usichukulie vitu kwa macho tuu kuna mengi hua yapo nyuma ya pazia.
 
Back
Top Bottom