Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Ukisoma Egyptian book of the dead wameelezea vizuri hili jambo, kwa imani yao haya maisha tunayoishi sasa ndo jehanam yenyewe(underworld, )maana roho yako inakua imelimitiwa na hii hali ya ubinadam ila roho ikitoka kwenye huu mwili inarudi kwenye hali yake(nguvu) ya asiliImani ya kwamba kuna mbinguni au motoni walituletea wao kusema amekwenda motoni au yupo wapi ni ngumu sana,bora nikae kimya ,and no hell hell is propaganda,we are in hell right now!
Naunga mkono hoja, hii inaitwa "reversing the bad karma impact". Kama umetenda maovu fulani, mfano kuua mtu, malipo ya karma yako ni na wewe utauliwa, ila ukijitambua kuwa umefanya kosa, ukajuta, ukatenda wema mara dufu kufidia ule ubaya, ile karma ya uovu wa kuua mtu inafutika!. Hili nimelieleza vizuri tuu hapa "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako! na hata yule Blaza wangu, kutokana na hisia kuwa hakuwa mtu mwema kivile, hivyo karma ndio ikamchomoa, baadhi ya watu wakidhani amekwenda kufanywa kuwa kuni!. Bahati nzuri mimi nilielezwa mahali alipo na nikaeleza humu Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani ila bado kuna watu hawaamini!.Kutoa sadaka
kutoa zaka
kusaidia mayatima
kusaidia wajane
KUNAPUNGUZA NGUVU YA KARMA KUKUPIGA KWA NGUVU.
Nafikiri sasa Yupo kuzimu(kama kupo) na hivyo basi utajiri wao utakuja julikana-unajulikana bila ya uwazi-kwa Uwazi.Nilikadiria chini sana
Moja ya vipande vilivyotazamwa sana katika Vito vya Taji ni Crown ya St. Edward, ambayo ina mawe 444, ya thamani na ya nusu ya thamani. Takriban pauni tano za dhahabu zilizotumika kujenga taji hilo leo zina thamani ya zaidi ya $100,000, huku mkusanyiko wa mawe katika madini hayo ya thamani ukiweka thamani ya taji hili karibu dola milioni 39.View attachment 2354066
Mtengenezaji na mtumuaji wote kila mmoja kwa kipimo chake atapata karma yakeMnavyozungumza Karma inabidi mtutoe tongotongo...anayetengeneza dawa za kutoa mimba na mtu anayetumia hizo dawa kutoa mimba karma inaenda kumtafuna nani?
Ndio ile stori ya Mikhail Kalashnikov na AK47 yake iliyotumika kuua milions of innocent people
Nipe muda nitakurudia nisijibu kwa kukurupukaMkuu, naomba kufundishwa tena historia…… hivi Elizabeth alikuwa malkia mwaka gani tena vile? Kama nakumbuka vizuri it was 1952 February…..
Sasa mkuu utumwa pia uliondolewa (abolishment of slavery business) mwaka 1807 tena na serikali yao ya Uingereza, kwa hiyo sielewi kabisa yeye anapolaumiwa kwa utumwa something hakufanya na she was not even born by then!
Pia kumbuka she’s just a ceremonial heard of state, mwenye maamuzi muhimu pale UK ni prime minister na cabinet yake.
Hata Lancaster House Agreement haikuwa signed kati ya Abel na Malkia…
So sielewi yeye alipromote vip utumwa….please help me kwenye hilo mkuu
Mwenyez asikuache.upo good sana mkuuMkuu Mshana Jr, kwanza asante sana kwa faraja yako.
Pili karma sio imani ya kipagani, ni imani ya dini za Hindu na Budhisim, nakuomba wasio Wakristu na Waislamu tusiwaite wapagani!.
Nikitulia nitapandisha bandiko la shukrani kwa walioniaminia na kunisupport, ila chama changu CCM kimefanya uamuzi wa haki kabisa, kwa hao walioteuliwa CCM, mimi wamenizidi sana kwa sifa na vigezo!.
Ila pia lazima nikubali madhaifu yangu, maama mimi nami...!, inawezekana ni karma ya matendo yangu ya nyuma pia imechangia, its good nimejitambua, not to accumuletes more negative karma, maana hata kwenye yale mambo yetu yale... idadi ya nilio ... kwa ahadi ya ... imepita triple digits!, hivyo you can imagine!.
Kwa mzalendo wa kweli wa nchi yake, kutokuteuliwa kugombea nafasi fulani hakukufanyi ushindwe kuitumikia nchi yako, mimi bado ni mwandishi wa habari wa kujitegemea kwa kujitolea nikiendelea kuandika na kutangaza, pia ni wakili wa kujitegemea kwa kujitolea kutetea bure masikini na wasio na uwezo wa kuweka wakili.
RIP Queen Liz.
P.
Asante sana.Mwenyez asikuache.upo good sana mkuu
Kila anaekufa aliwahi kuuwa...?Laana zipo za aina nyingi laana ya karma ni malipo ya matendo yako mabaya uliyowatendea nyuma. Mfano aliyemuua azory nae kafa, aliyemuua bob marley nae kafa, aliyemuua Tsvangirai nae kafa, Aliyemuua Ouko nae kafa, aliyemuua Mashood Abiola nae kafa, aliyemuua Lumumba nae kafa. SAsa kuua mtu kuna faida gani hali nawe utakufa, then mnaenda kutana huko.
Mtu yeyeto mwenye akili timamu hawezi ua mtu.
We unaweza kuthibitisha?unathibitishaje kuwa mtu alishaishi before akazaliwa tena?acha kudhalilisha ukoo wako bro......mwenyewe umeona umeongea vitu smart kinoma kumbe upuuzi tu.Haya thibitisha tuone.UNAONGEA KIRAHISI TU ATI HAKUNA INCARNATION?
THIBITISHA. ACHA UJUAJI NA KIMBELEMBELE.
VIZUNGU VIIINGIIII UJINGA MTUPU
nilimwambia akae kimya kwa muda.....asiwe anaongea ongea hapa jf kuhusu huo uchaguzi, hakunisikia.....may be alijua kwamba atakosa ndio maana akaamua "kujizima data".Kura hazikutosha
Ukifahamu Anglican imetoka wapi basi huna haja kushtukaUna maanisha Waangalikana ni wa....? Au sio mkuu?
Saawa mkuiUkifahamu Anglican imetoka wapi basi huna haja kushtuka
duh! watu mna siri nyinyi....ina maana prince harry sio mtoto wa damu wa king charles III?!!Mshana jr, umeongea kitu hapo.
Pamoja na utumwa huyu mama Marehemu Malkia alikuwa mtu mwenye roho yake,
Pamoja na kitendo alichomfanyia mkwewe Diana cha kumkataa na kumwambia mwanae amchukue Camilla na Diana awemo tu humo kwenye casri ila asiwe mke wa mwanaye hakikutosha, akamkataa kabisa yule mjukuu yaani mtoto wa Diana.
Vikapimwa vinasaba hata ikajulikana baba wa mtoto nahisi ni baada ya Diana kufa
Wakamtupa jeshini.
Kaoa m marekani mweusi, unaambiwa hilo kasri lina mashangingi ya kizungu yamejaa yakawa yanam disi , kijana kufikia kuhama kwenye kasiri
Ila walikuja kuongea na bibi huku mwishoni.
Huwa nafuatilia hii familia kwa ajili nilim like sana Diana.
All in all marehemu alikuwa katili fulani hivi
Binadamu kusema ni kawaida..,Harry ukimtizama vizuri ndio mule mule na baba yake Charles...duh! watu mna siri nyinyi....ina maana prince harry sio mtoto wa damu wa king charles III?!!
nime-google mda huu nikakuta kumbe ni mjadala mkubwa kwenye ulimwengu wa mitandao.
Diana kuchafuka anaweza akawa hachafuki kwenye macho ya walimwengu lakini ukweli unabaki kua tofauti kwenye Royal Family kwa required standards of decence, maana maadili yake hayakuendana kabisa na viwango vya familia ya kifalme.Binadamu kusema ni kawaida..,Harry ukimtizama vizuri ndio mule mule na baba yake Charles...
Tena Ni mjukuu kipenzi kwa Bibi yake..
Diana hachafuki daima...
Kama sio mtoto wa kifalme mpaka leo hii sidhani Kama angekuwa hai..,Ila Kuna mtu aliwahi kuclaim kwamba Ni mtoto wa new king ..alizaa na maid wao,na anataka atambulike rasmi!
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app