Malkia wa Sheba (Queen of Sheba) ni nani?

Ukweli unajionyesha kila mahali ya kwamba BIBLIA IMECHAKACHULIWA ila wanapinga kwa maslahi ya dunia.ALLAH atawaadhibu kwakukadhibisha kwao
 
MALCOM LUMUMBA huwa siamini sana hiyo stori ya Nuhu kuwa amezaa hayo mataifa. Inapingana kabisa na tafiti zinazosema mwanzo wa mtu ni Afrika.

Lakini hata nje ya hizo tafiti, huyo mtoto mweusi wa Nuhu alimchungulia baba yake akalaaniwa. So wale wanaopenda habari ya kutukuza weupe wanapenda kuangushia hizo tuhuma kwa weusi. UONGO MKUBWA HUO!!
 

Hebu tuanze jambo la kwanza.
Fuvu lilikutwa Olduvai Gorge siyo la HOMO SAPIEN bali ni HOMO HABILIS ambaye alikuwa ni aina ya nyani.
Mimi siamini kama binadamu wa kwanza alikuwa ni nyani. Binadamu alikuwa ni banadamu tangu mwanzo.
Ukukubaliana na utafiti wa daktari Leakey ni dhahili kwamba unaamini binadamu ametokana na nyani.

Pili, umesoma wapi kwamba weusia wametokana na laana?
Nuhu alimlaani Canaan mtoto wa HAM na siyo HAM mwenyewe.
Kwa kukusaidia ukisoma kitabu cha MWANZO 9:25 "Nuhu akasema na alaaniwe Canaan;atakuwa mtumwa kabisa wa ndugu zake"
Canaan iko Mashariki ya kati na siyo Afrika, na walifutiliwa mbali na Waebrania wakiongozwa na Joshua sasa hiyo laana ya mtu mweusi imetoka wapi?

Tatu, baba wa watu weusi siyo Canaan aliyelaaniwa. Ham alikuwa na watoto wengine kama Cush, Mizraim na Phut.
Cush ndiyo baba wa Waethiopia, Mizraim ndiye baba wa Wamisri na Phut ndiye baba wa Walibya. Hata Ptolemy baba yake na Cleopatra aliandika kwamba Libya na ya uzao wa Phut. Wanahistoria wanakubaliana na hili kwanini wewe useme ni wongo halafu hutoi sababu za msingi?

Nne, kwa mtazamo wako kwamba biandamu alitokana na nyani utakuwa unakubaliana na theory of evolution. Hivyo mpaka sasa mzungu ndiye atakuwa binadamu Advanced kuliko watu weusi. Na kinachosikitisha ni unaamini kwamba wewe ulikuwa ni nyani.

Hebu dadavua kwanza haya halafu uje tuendelee kuelimishana. Karibu sana Mkuu.

big gift
 
Safi kabisa kwa maneno mazuri. Ni miaka nenda tumeona nyani kibao lakini hakuna hata mmoja aliepatikana kukaribia na binadamu. so theory ya dr leakey ni ya uongo.
Ila binadamu ni binadamu tuu na tunabadilika kulingana na mazingira.
 
Walielewana kwenye maongezi? I mean King Solomon aliifahamu lugha ya huyo malkia? What about the language barrier?
Ethiopia hadi Israel ni mbali mnooo
Queen alitumia usafiri gani? Alijuaje ramani ya kwenda Israel ?

Ethiopia kipindi hiki ilikuwa ni confederacy ambayo imefika hadi mashariki ya kati.
Ilikuwa imeungana hadi na misri. Ndiyo maana mwanahistoria Flavius Josephus anamwita Makeda kama Malkia wa Ethiopia na Misri, au malkia wa kusini.
Kwa kifupi huu ufalme ulikuwa mkubwa.

Hapo kwenye Lugha hebu jiulize;
1. Ufalme wa China ulikuwa na ubalozi nchini katika falme za Tanganyika hata kabla ya kuja wazungu: Je, walielewana vipi?
2. Columbus alivyofika Marekani alielewana vipi na wahindi wekundu?
3. Wahehe walifanya biashara na wangoni na Wanyamwezi: Je, walitumia lugha gani?
4. Mansa Kankan Musa alivofanya biashara ya watumwa na dhahabu na falme za dunia: Je, alikuwa ni bibi huyu au walikuwa wanaandika chini?
 
HIS IMPERIAL MAJESTY EMPEROL HAILE SELASSIE I
 
Thanks mkuu
 
Kumbe nami ni Myahudi! Babu aliniambia walitokea kaskazini kwenye nchi ya milima[emoji12]
 
Jedediah, suleiman, Solomon nashindwa kuelewa nami nahitaji msaada
[emoji12]
Ikupilika Nkoba, Kamba Luffo

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…